Msimamo wa CHADEMA waparaganyika

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,882
13,167
Sasa ni dhahiri msimamo wa CHADEMA juu ya sakata la mchanga wa dhahabu umeparaganyika.

Kwanza Lissu alikuja na kali ya kuwatetea ACCASIA, kuwa mikataba ya wizi iliyofungwa na Nchi, tutashitakiwa na kupigwa adhabu kali za kimataifa.

Sasa Lowassa amempongeza Magufuli kwa kazi nzuri.

Tatu yule ambaye Lissu aisema atatushitaki mpaka tukome, kaja mwenyewe na kasema yeye ndo atatulipa kwa wizi uiofanyika.
CHADEMA sasa inaonekana kama gulio la wajinga.

Ushauri wangu: muufungie luku huo mdomo wa kijana wenu Lissu, kwani pamoja na kusoma sana sheria bado hajaelimika.

20170614_163445-jpg.523869
 
Sasa ni dhahiri msimamo wa CHADEMA juu ya sakata la mchanga wa dhahabu umeparaganyika.

Kwanza Lissu alukuja na kali ya kuatetea kuwa mikataba ya wizi iiyifungwa na Nchi, tutashitakiwa na kupigwa adhabu kali za kimataifa.

Sasa Lowassa amempongeza Magufui kwa kazi nzuri.

Tatu yule ambaye Lissu aisema atstshitaki moaka tukome, kaja mwenyewe na kasema yeye nfo atstulipa kwa wizi uiofanyika.
CHADEMA sasa inaonekana kama gulio la wajinga.

Ushauri wangu: muufungie luku huo mdomo wa kijana wenu Lissu, kwani pamoja na kusoma sana sheria bado hajaelimika.
Wewe ndiyo kilaza wa mwisho kabsa Duniani Kumbuka huyo mmiliki kaja kuandaa mkutano wa majadiliano wakishakubaliana ndipo wataitengua mikataba ya zamani mibovu iliyopo iliyopitishwa na CCM wenzako wajinga kama wewe gulio la wajinga lipo CCM kwani bila wao ujinga huu usingekuwa unajadiliwa leo.
 
Wewe ndiyo kilaza wa mwisho kabsa Duniani Kumbuka huyo mmiliki kaja kuandaa mkutano wa majadiliano wakishakubaliana ndipo wataitengua mikataba ya zamani mibovu iliyopo iliyopitishwa na CCM wenzako wajinga kama wewe gulio la wajinga lipo CCM kwani bila wao ujinga huu usingekuwa unajadiliwa leo.
Ukisema ccm wajinga mpka wazazi wako n wajinga
 
Kosa la CDM ni nini hasa?! Kushauri sheria zetu mbovu zilizogawa raslimali zetu hovyo kwa wageni zibadilishwe, au ni kule kutokumshangilia jamaa na changa lake la macho?!

Walioidhinisha mpuuzi huu wapo tena wanahudumiwa na kodi ya wananchi lakini mnatafuta kichaka cha kukimbilia (Lisu & CDM) !!! Iweni wa kweli kwa taifa na nafsi zenu.
 
Daud Bashite kaamua kuchezesha Sinema kibao ili watanzania wamsahau kabsa apete na vyeti vyake feki, kamwandalia magufuli sinema nyingi mpaka watanzania wamsahau kabsa, watanzania wanataka mikataba yote iletwe wazi mikataba ya ununuzi wa kivuko DSM kwenda Bagamoyo, ununuzi wa ndege kwa cash, ujenzi wa Reli, uwanja wa ndege chato na ukarabati wa bandari mikataba yao iwekwe wazi mapema.
 
Kosa la CDM ni nini hasa?! Kushauri sheria zetu mbovu zilizogawa raslimali zetu hovyo kwa wageni zibadilishwe, au ni kule kutokumshangilia jamaa na changa lake la macho?!

Walioidhinisha mpuuzi huu wapo tena wanahudumiwa na kodi ya wananchi lakini mnatafuta kichaka cha kukimbilia (Lisu & CDM) !!! Iweni wa kweli kwa taifa na nafsi zenu.
Kosa la zamani linazinduliwa sasa ! Cha ajabu miaka yote Wapinzani wamepiga kelele waliwadharau lakini kwa kuwa magufuli ni Rais kaonekana kama kazindua mladi wa kuwalipa mishahara watanzania wasio na kazi. huu ujinga wa CCM ndiyo umelifanya Taifa kuwa la ajabu ajabu
 
Kosa la zamani linazinduliwa sasa ! Cha ajabu miaka yote Wapinzani wamepiga kelele waliwadharau lakini kwa kuwa magufuli ni Rais kaonekana kama kazindua mladi wa kuwalipa mishahara watanzania wasio na kazi. huu ujinga wa CCM ndiyo umelifanya Taifa kuwa la ajabu ajabu
Magufuli ndiyo kila kitu, kasome post ya MPENDAZOE(Chadema wangemaanisha wasingewapokea Majizi pala-LOWASSA, SUMAYE n.k)
 
nawapongeza CHADEMA kwa kuruhusu demokrasia ya kweli ndani ya chama chao hasa juu ya hili suala la mchanga. kila mbunge ana mtazamo wake.ingekua ndani ya ccm wabunge ambao wangetoa mtizamo tofauti na wa chama wangekiona cha moto
 
Hama hata Dk hii yaani wewe unahama kisa wizi tokea 1998 umebarikiwa na CCM leo hii magufuli katekeleza kilio cha Wapinzani unahama chama?
Wapinzani wapi wakati Lissu anamtishia kuwa atashitakiwa na ACACIA.
 
Sasa ni dhahiri msimamo wa CHADEMA juu ya sakata la mchanga wa dhahabu umeparaganyika.

Kwanza Lissu alukuja na kali ya kuatetea kuwa mikataba ya wizi iiyifungwa na Nchi, tutashitakiwa na kupigwa adhabu kali za kimataifa.

Sasa Lowassa amempongeza Magufui kwa kazi nzuri.

Tatu yule ambaye Lissu aisema atstshitaki moaka tukome, kaja mwenyewe na kasema yeye nfo atstulipa kwa wizi uiofanyika.
CHADEMA sasa inaonekana kama gulio la wajinga.

Ushauri wangu: muufungie luku huo mdomo wa kijana wenu Lissu, kwani pamoja na kusoma sana sheria bado hajaelimika.
Tulisema Tundu Lissu ni debe tupu ,unaweza kuwa mwanasheria mzuri lakinikama huna busara basi unakuwa debe tupu sasa karukia kuwa Kikwete na Mkapa washitikiwe kwa kosa gani hao walisaini mikataba kwa kuwaamini akina Chenge na timu yake hao ndio walikuwa wakitayarisha mikataba na sio Mh Mkapa wala Kikwete ,hawa waliwaamini sana akina Chenge kumbe akina Chenge wanaitumia elimu yao kuwaibia walewale waliowawezesha.Halafu Lissu alivyo muongo anadai kamati zote zanyuma zimefanya kile kamati ya akina Osoro na Mruma imekifanya sijui kipi na wapi hizo kamati zilisema tunaibiwa makinikia ,kwa hiyo tunaibiwa ,wapi iliwataja wahusika wakuu wa mikataba hiyo,uchunguzi wa kitaalamu waliufanya kama sio kwenda kutalii tu nchi za watu
 
nawapongeza CHADEMA kwa kuruhusu demokrasia ya kweli ndani ya chama chao hasa juu ya hili suala la mchanga. kila mbunge ana mtazamo wake.ingekua ndani ya ccm wabunge ambao wangetoa mtizamo tofauti na wa chama wangekiona cha moto
Wahurumie wenzie , subiri hao walimpongeza JPM huko ufipa kama 2020 utawaona tena, labda kama MBOWE amegawa hisa za SACCOSS yake
 
Magufuli ndiyo kila kitu, kasome post ya MPENDAZOE(Chadema wangemaanisha wasingewapokea Majizi pala-LOWASSA, SUMAYE n.k)
mkuu mwanasiasa ni mwanasiasa tu leo rais maghufuli kashangaza watanzania kwa kuwatetea majizi jk na mkapa eti yasivuliwe kinga. kweli nimeamini mafisadi lao moja. tunafanyiwa maigizo hapo.
 
Back
Top Bottom