Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,518
- 217,784
Naweka wazi kabisa ili nisije kulaumiwa kwa yatakayotokea kanisani baadaye , kumcha Mwenyezi Mungu ni pamoja na kuukataa unafiki hadharani , ikitokea Wanasiasa wenye makandokando yanayofahamika wakaingia kwenye kanisa nitakalokuwemo leo NITAJIONDOKEA ZANGU , sitaweza kuinajisi ibada takatifu ya Ijumaa Kuu.
Damu ya Bwana Yesu ilimwagika msalabani kwa lengo la kuwakomboa wenye dhambi , ni damu ya thamani kubwa , ni damu inayosafisha , ni damu Takatifu , Kushiriki Ibada Takatifu kama hii na watu wauwaji , watekaji , wenye roho mbaya ya kishetani ni sawa na kuipaka kinyesi Misa hii Takatifu iliyojaa upendo wa Mungu.
Sitakuwa miongoni mwa Wasaliti wa Mungu .
Yohana 3:16
Damu ya Bwana Yesu ilimwagika msalabani kwa lengo la kuwakomboa wenye dhambi , ni damu ya thamani kubwa , ni damu inayosafisha , ni damu Takatifu , Kushiriki Ibada Takatifu kama hii na watu wauwaji , watekaji , wenye roho mbaya ya kishetani ni sawa na kuipaka kinyesi Misa hii Takatifu iliyojaa upendo wa Mungu.
Sitakuwa miongoni mwa Wasaliti wa Mungu .
Yohana 3:16