Msimamo Rasmi: Wakati Umefika kwa Freeman Mbowe (MB) Kujiuzulu; na Sekretariati Yake...

Hili zee limekuwa litumwa fulani hivi.linataka na wengine wawe watumwa kama lenyewe. Jinga kabisa. Ni hivi watu atuwezi kuwa unavyotaka wewe. Ndiyo maana wengine mliwapiga risasi na kuwapoteza baada ya pesa kugonga mwamba.
 
Afrika Kusini: Mmusi Maimane wa DA
Kiongozi huyo alikuwa ni moto moto na alijaribu sana kukivutia chama cha DA kwa weusi wa Afrika ya Kusini. Hata hivyo, juhudi zake hizo hazikuweza kukifanya chama hicho kufanya vizuri zaidi kulinganisha na ANC ambayo ilikuwa inakumbwa na kashfa nyingi. Licha ya kashfa hizo chama cha DA hakikuweza kuvutia weusi wengi. Maimane aliamua kujiuzulu baada ya mikakati na mbingu zake zote kushindwa.

Mifano yote hiyo michache na ipo mingine mingi inatuonesha mambo mengi. Kubwa ni kuwa kiongozi wa chama cha siasa anaposhindwa kutimiza ndoto aliyowahidi wananchi wake yampasa yeye ajiuzulu na kama katika maamuzi hayo aliungwa mkono na viongozi wengine wa juu nao pia yawapasa kujiuzulu.



MM. Mwanakijiji
Mkuu hapa umepotosha. Objectives za DA uchaguzi wa mwaka jana ilikuwa kuretain Western Cape na Kuishusha ANC chini ya 50% Gauteng na hilo walifanikiwa so si kweli Maimane alishindwa. Pia Kwa mara ya kwanza DA ilipata kura za watu weusi wengi kuliko wakati wowote ule kwenye historia ssa unaposema alifeli kuwavutia una maana gani? Kwa takwimu zipi?? Mkuu una credibility sana humu JF at least uwe unakuja na facts sio ushabiki.

Kuhusu Mbowe niseme tu ndio mwenyekiti pekee hapa TZ ambaye kila uchaguzi chama chake kinaongeza wingi wa wawakilishi ngazi zote na kura za urais kwahiyo hajafeli kama ulivyotaka kupotosha. CCM wao ndio wanaporomoka kila chaguzi from 88% to 62 to 56 sasa hapo nani failure??

Btw chaguzi za hao uliotaja ni huru na haki ndio maana mtu akishindwa anakubali matokeo ssa huku kwetu mnaharibu chaguzi kma Jecha ssa utasema kweli Maalim au Mbowe wameshindwa kwenye chaguzi?? Case study zako haziendani kabisa

Kiufupi mwanakijiji you are overrated!!
 
Hili ni swali ambalo linahitaji jibu. Kwenye nchi na vyama vya kidemokrasia mojawapo ya kanuni muhimu ni ile inayotaka viongozi wa juu wa chama kuwajibika mara moja pale vyama vyao vinaposhindwa uchaguzi. Hili ni kweli hasa pale kiongozi anapowekeza mkakati mzito na kuwaaminisha wanachama na mashabiki wake kuwa mkakati au msimamo waliochukua utakipa chama ushindi mkubwa. Mkakati au msimamo huo unaposhindwa viongozi wale hawatakiwi kuendelea na madaraka na badala yake hutangaza kuachia ngazi ili kutoa nafasi kwa viongozi wengine kuja na msimamo na mkakati mwingine ambao ni tofauti na ule mwingine. Nitatoa mifano michache.
Kuna nyakati nyingine watu wawe na angalau aibu, wajisitiri ili wasionekane kwa misimamo yao kuwa wanawaona wenzao wanaosoma wanayoyawasilisha hawana akili kichwani.

Demokrasia hapa nchini ipo wapi ambayo unaweza kuilinganisha na hizo unazoziorodhesha hapo chini.

Hivi vyama vya upinzani vinaendelea kuwepo katika mazingira magumu sana, wewe hayo huyaoni kabisa; unafumba macho na wala kusikia husikii!

Kazi yako ni kulinganisha tu hivyo vyama na wenzao walioko kwenye mazingira tofauti kabisa?

Hakuna haja ya kuandika mengi kwenye mada kama hii.
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Hili ni swali ambalo linahitaji jibu. Kwenye nchi na vyama vya kidemokrasia mojawapo ya kanuni muhimu ni ile inayotaka viongozi wa juu wa chama kuwajibika mara moja pale vyama vyao vinaposhindwa uchaguzi. Hili ni kweli hasa pale kiongozi anapowekeza mkakati mzito na kuwaaminisha wanachama na mashabiki wake kuwa mkakati au msimamo waliochukua utakipa chama ushindi mkubwa. Mkakati au msimamo huo unaposhindwa viongozi wale hawatakiwi kuendelea na madaraka na badala yake hutangaza kuachia ngazi ili kutoa nafasi kwa viongozi wengine kuja na msimamo na mkakati mwingine ambao ni tofauti na ule mwingine. Nitatoa mifano michache.

Uingereza: Jeremy Corbyn
Bw. Corbyn alikuwa ni kiongozi wa chama cha Labour cha Uingereza akiwa kinyume kimisimamo na mwelekeo na uongozi wa Boris Johnson wa chama cha Conservatives. Katika mjadala wa kuondoka ama kuondoka au kubakia ndani ya Jumuiya ya Ulaya Corbyn aliongoza harakati za kubakia kwa muda mrefu. Alibeza misimamo na mipango ya chama cha Conservatives na hata kutaka uchaguzi mwingine ufanyike kuona wananchi wanasemaje.

Kufuatia matokeo ya uchaguzi mwezi Disemba mwaka jana ambayo yaliona Bw. Johnson akishinda na kupata wabunge wengi zaidi Corbyn alijua kuwa msimamo na mkakati wake umekataliwa na wananchi. Japo yeye mwenyewe alichaguliwa katika jimbo lake lakini alikiri kuwa hatokuwa tayari kukiongoza chama hicho kuelekea kampeni nyingine ya uchaguzi.

India: Rahul Gandhi
Licha ya kuwa na jina kubwa katika siasa za India, kiongozi wa chama cha Congress Gandhi alitarajiwa kubeba chama hicho ambacho familia na ukoo wake ulikuwa kama umekihodhi katika ngazi za juu kwa karibu nusu karne. Hata hivyo, baada ya kushindwa chaguzi za April na Mei mwaka jana, Gandhi alijikuta hana namna nyingine isipokuwa kukubali kuwa yeye hakuwa tena mtu sahihi wa kukiongoza chama hicho.

Katika kauli yake ya kujiuzulu Gandhi alisema "kuwajibika ni muhimu sana katika kuhakikisha chama chetu kinakua huko mbeleni. Ni kwa sababu hiyo nimeamua kujiuzulu nafasi yangu kama Rais wa chama". Hii haina maana hakuwa na mchango, au kuwa alikuwa kiongozi mbaya. Alichofanya ni somo la kawaida la demokrasia; kiongozi akishndwa kuongoza chama chake kushinda uchaguzi anatakiwa kujiuzulu siyo kutafuta udhuru.

Korea Kusini: Hoong Joon Pyo (kiongozi wa upinzani)
Mwaka 2018 chama cha Liberty Korea Party chini ya uongozi wa Bw. Pyo kilijikuta kinabwagwa vibaya kwenye uchaguzi mkuu kiasi cha kumfanya kiongozi huyo kukubali kubeba lawama zote za kushindwa huko na kuamua kujiuzulu.

Taiwan: Mwenyekiti Wu Den yii wa KMT

Baada ya kubwagwa vibaya kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka Huu uongozi mzima wa chama cha KMT uliandika barua zake kujiuzulu ili kuwajibikwa kwa matokeo mabaya ya uchaguzi huo. Mwenyekiti Wu Den yii (cheo sawa na cha Mbowe) akiongozi Sekretariati yake waliandika barua ya kujiuzulu mbele ya Kamati Kuu. Wu alikuwa ameapa kuwa mkakati wake wa uchaguzi utakipatia chama hicho angalau nusu ya viti vyote vya wabunge. Hilo halikutokea! na Walishindwa kwenye Urais kwa tofauti ya asilimia 20 ya kura!

Afrika Kusini: Mmusi Maimane wa DA
Kiongozi huyo alikuwa ni moto moto na alijaribu sana kukivutia chama cha DA kwa weusi wa Afrika ya Kusini. Hata hivyo, juhudi zake hizo hazikuweza kukifanya chama hicho kufanya vizuri zaidi kulinganisha na ANC ambayo ilikuwa inakumbwa na kashfa nyingi. Licha ya kashfa hizo chama cha DA hakikuweza kuvutia weusi wengi. Maimane aliamua kujiuzulu baada ya mikakati na mbingu zake zote kushindwa.

Mifano yote hiyo michache na ipo mingine mingi inatuonesha mambo mengi. Kubwa ni kuwa kiongozi wa chama cha siasa anaposhindwa kutimiza ndoto aliyowahidi wananchi wake yampasa yeye ajiuzulu na kama katika maamuzi hayo aliungwa mkono na viongozi wengine wa juu nao pia yawapasa kujiuzulu.

Mbowe na CHADEMA
Katika siasa zetu za Tanzania inasikitisha kuwa mikakati mbalimbali iliyobuniwa na MBowe na kutekelezwa na harakati mbalimbali imeonesha kufeli zaidi. Watu wamebakia kujivunia mavazi na rangi za magari na wingi wa misemo yenye kuvutia. Wakati umefika kwa Mbowe kujipima kama hawa viongozi wengine na kuona kama kweli anastahili kuiongoza CHADEMA kuelekea uchaguzi mkuu wa 2020 baada ya kukiongoza chama hicho katika kufanya maamuzi mabovu, ya hatari na yenye kukidhoofisha zaidi.

Ni Tanzania tu ambapo kiongozi wa upinzani anakiongoza chama katika kushindwa katika kila uchaguzi na bado anatarajiwa kuendelea kukiongozi miaka mingine. Ni Tanzania tu kiongozi wa upinzani anahukumiwa siyo kwa kuwezesha kuingia madarakani bali kwa kuangalia ni kura ngapi zimeongezeka kwenye mahesabu!

Binafsi naamini kuondoka kwa Mashinji leo kuwe ndio msumari wa mwisho wa kuonesha ubaya, na upotofu wa maamuzi ya Mbowe kama Mwenyekiti. Suala hili ni suala la kidemokrasia na siyo suala la binafsi. Na ninaamini Sekretariati nzima ya CHADEMA isijiuzulu na kutoa nafasi kwa wanachama wengine kushika hatamu za uongozi wa chama kuelekea uchaguzi mkuu wa 2020. Kuendelea kujificha kwenye kumlaumu Magufuli na CCM ni kujaribu kutafuta visingizio visivyoisha. Tangu 2005 hadi leo hii bado upinzani chini ya MBowe haujapata dawa sawasawa ya kukabiliana na CCM.

Kuukataa ukweli huu ni sawasawa na mtu anayejifumba macho kujificha na mwanga wa tochi unaommulika. Ni kweli anaweza asiuone mwanga huo lakini haina maana kwenye mwanga huo yeye haonekani.

Kudai ati "CCM iweke usawa" ati "tunapambana na dola" na kuwa "Magufuli ameminya demokrasia" ni visingizio vilivyopitwa na wakati na ambayo havina msingi katika uelewa wa siasa za kawaida za upinzani mahali popote duniani. Wale wapinzani wanaotaka chama tawala kiwatengenezee mazuria, kuwapambia maua na kuwaimbia nyimbo za kuwatia moyo hawafai hata chembe kuendelea kuuongoza upinzani huo.

Ni wakati wa Ndg. Freeman Mbowe kuamua kujiuzulu mara moja na siyo kutafuta udhuru na visingizio vya kushindwa. Afuate mfuano wa viongozi wengine ambao waliweza kuuangalia ukweli wa kushindwa kwao na kuusalimu kwa kujiuzulu.

Labda, Labda, UPINZANI wa kweli unaweza kuibuka.

MM. Mwanakijiji
Rubish, I head is too small for this.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wale wanaomjua wanasema jamaa ni mshamba fulani hivi, pamoja na kukaa marekani bado ule ushamba haujamtoka, hapo ujue ameshaingiziwa hela kwenye account yake na team ya akina bashite na tiss,.ndoo maana anatapiga minyoo tu, sasa si bora ungebaki bongo kama sisi, maana anaonekana ana njaa kuliko sisi tunaopigwa na juaa Kali la bongo.
Mkuu hapa umepotosha. Objectives za DA uchaguzi wa mwaka jana ilikuwa kuretain Western Cape na Kuishusha ANC chini ya 50% Gauteng na hilo walifanikiwa so si kweli Maimane alishindwa. Pia Kwa mara ya kwanza DA ilipata kura za watu weusi wengi kuliko wakati wowote ule kwenye historia ssa unaposema alifeli kuwavutia una maana gani? Kwa takwimu zipi?? Mkuu una credibility sana humu JF at least uwe unakuja na facts sio ushabiki.

Kuhusu Mbowe niseme tu ndio mwenyekiti pekee hapa TZ ambaye kila uchaguzi chama chake kinaongeza wingi wa wawakilishi ngazi zote na kura za urais kwahiyo hajafeli kama ulivyotaka kupotosha. CCM wao ndio wanaporomoka kila chaguzi from 88% to 62 to 56 sasa hapo nani failure??

Btw chaguzi za hao uliotaja ni huru na haki ndio maana mtu akishindwa anakubali matokeo ssa huku kwetu mnaharibu chaguzi kma Jecha ssa utasema kweli Maalim au Mbowe wameshindwa kwenye chaguzi?? Case study zako haziendani kabisa

Kiufupi mwanakijiji you are overrated!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"JokaKuu, post: 34429132, member: 221"]
Mkuu kabla ya kupitia hoja zako, nianze na ya Mzee Mwanakijiji. Sikubaliani na hoja ya Mbowe kujiuzulu kwa sababu zifuatazo
1. Hiwezekani Nahodha akatoboa chombo au kupoteza uelekeo halafu akapewa fursa ya kujitosa kwa kuogelea!

Mbowe anatakiwa aendelee na uongozi hadi pale chama kitakapozimia kama si kumfia mikononi.
MM anafahamu, wengine tulipiga kelele siku nyingi kwamba kunatatizo la uongozi ndani ya CDM

Kule Mabawa na Ngamiani Tangakuna kitu kinaitwa ''Limbwata''.Inasemekana ukikutana nacho huoni wala husikii. Kama kuna hicho kitu, Mbowe amefanikiwa kuwalisha mashabiki na Wapenzi wa CDM. Tuachie hapo
.
..kwasababu kuna wengine wanaamini tangu Mbowe amekuwa mwenyekiti chama kimekuwa kikikua kwa kuongeza idadi ya mashabiki, wanachama, na wabunge.
Kukukua kwa CDM kuna sababu
1. Uongozi wa Mtei, Marehemu Makani, Dr Slaa na Zitto waliojenga chama kama taasisi na kufuata misingi yake
2. Kufa kwa NCCR na kutokomea kwa CUF kuliwalazimu wanaoutaka upinzani kama mbadala kuhamia CDM
Mbowe alipokea chama kikiwa tayari kinakua na kina mizizi yake
..pia ubora na udhaifu wa Mbowe
unaupima vipi?
Ubora wake unahitaji muda kuupima.
Udhaifu wake ni kutofuata taratibu za chama, kutofikiria ushirikiano na wapinzani wenzake na kutaka kuhodhi chama. Hayo yanasababisha chama kiwe mtu lakini kubwa zaidi ni kukosa maono ya muda mfupi na mrefu
Unamlinganisha na wenyeviti waliopita wa CCM?
Haiwezekani kumlinganisha nao, udhaifu wa hao ndio unakuza upinzani. Kwa wenyewe wanasema ''blessing in disguise''
Au unamlinganisha na wenyeviti wa vyama mbalimbali vya upinzani nchini?
Hapana, udhaifu wa viongozi wengine ndiyo ilikuwa fursa kwake kuitumia
Au unajaribu kuona ni wapi angeweza kufika, lakini hakufika, kwa kuzingatia mazingira ya kisiasa na resouces at the disposal of his party?
Katiba mpya ni fyongo kubwa sana. Wakati wa JK CDM ilikuwa na nguvu ya umma haswa.

Mbowe alishangilia tangazo la katiba mpya, hakuona tatizo la katiba kutengenezwa na mwenyekiti wa CCM.

Udhaifu wa kushindwa kuongoza upinzani wakati ukiwa na nguvu ndiyo unawagharimu wapinzani sasa hivi.

Udhaifu wa pili ni kushindwa kutambua mbinu za kutwaa madaraka.
Mwaka 2015 Mbowe aliongoza kundi la ''gia'' za angani akitumaini EL atakuwa Rais.

Tulimweleza kuwa hakuna anayeweza kuwa Rais wa nchi hii chini ya katiba iliyopo na mazingira yaliyopo.

Mbowe alikuwa na fursa ya kutumia nguvu ya umma na mpasuko ndani ya CCM kupata Wabunge zaidi badala ya kuzunguka kumnadi mtu ambaye, kwanza, ilikuwa wazi ni dhaifu.

Pili, umaarufu wake ulijengwa na watu na sisi yeye mwenyewe.
Ndiyo maana wale 20 aliotaka kuondoka nao walipogoma, akabaki Mbowe na EL

Iwe walishinda au walishindwa, jibu moja ni sahihi, kwamba, hakukuwepo uwezekano CCM ikihodhi kila kitu.
Maalim iikuwaje? Jecha si alipata tumbo la kukata kisha kutibiwa TV Zenj.!

Kuna hoja ya kuongeza Wabunge wa Upinzani.

Swali la kujiuliza, Mbowe amekuwa kiongozi kwa muda gani?
Hiwezekani kiongozi kuongoza miaka 15 na kupata wabunge 50.
Hii ina maana itachukua miaka 40 ili kupata majority katika Bunge.

Hapana, kiongozi akishindwa kufikia lengo kwa muda fulani au chaguzi fulani anakaa pembeni.
Hilo halikutokea kwasababu moja, kwamba, hakuna Demokrasia ya kukosoa au kukosoana.

Kwa utaratibu ule wa pale Mlimani City na mauza uza yake, haiwezekani kuwa na mabadiliko yoyote chanya.
Kwa utaratibu wa katiba kutokuwa na ukomo na hilo kufanywa jando, hakuna mafanikio

Udhaifu mwingine ni maamuzi yanayotia shaka. Ile safari ya Kirumba ilikuwa bomu kwa kuanzia

Pamoja na ubomu wake Mbowe kama kionozi wa upinzani hakuwashirikisha wenzake kupata maoni yao.

Leo tunauliza Kirumba imetoa matokeo gani? Je, Mbowe ameweza peke yake bila wapinzani wenzake?

Je, yale ya Meya wa Jiji la DSM ndiyo aliyoenda kuyaomba? Na amefanya nini katika sakata hilo?

Nimalizie kwa kumtetea Mbowe, hapana, asijiuzulu! hiki ni ''kidali po alale nacho''

.
 
Duh... sasa unafikiria kiko wapi; peponi?
You talk of them because you fear them!

Mmejawa na ushauri hovyo, nadhani CDM katika uchaguzi walitaka waazimie kubadili uongozi walivyowaona ninyi wenye midomo mirefu mnawapangia wa kumchagua mkawaudhi.

Tangu lini adui akushauri na kukuchagulia safu ya uongozi hayo ndiyo mliyafanya kwa CUF mkadhani na CHADEMA ni vihiyo.

Mzee Mpumbavu ni hasara kwa jamii yake kwa hili hata mjukuu wako humshawishi.

Mnafiki sana we mzee na ni mnafiki kweli kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mazingira ya siasa za Tz zilivyosasa ukianza kulaumu mbowe kwamba ndio anadhoofisha upinzani utakua una shida sio ya kufikiri tu bali njaa. Njaa ni mbaya sana. Anaetakiwa aondoke anajulikana ila kwasababu hatuwezi kukwambia basi muda utasema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe ameonekana kuwa tishio kwao,so wamejaribu kila namna wameshindwa kumdhoofisha!Sasa wamekuja na hii,wanajaribu kuwahamasisha wanaCDM wamuone Mbowe hafai tena!Uzuri mbinu hii ishajulikana na nafurahi majibu wanayoyapata!
Ila jamaa wana roho ngumu,hawakati tamaa licha ya kuona hakuna anayewasikiliza zaidi ya kuwaona wapuuzi tu!
Wameivuruga CUF na sasa wamehamia kwa CDM!
 
Tatizo cdm hawaandai viongozi, na inakuwaje ukubwa wote huu wa chama hakuna viongozi walio andaliwa kushika hatamu?
Hilo nalo neno. Nadhani cdm inatakiwa iwaandalie vijana wa kuchukua hatamu za juu za uongozi e.g. Katibu mkuu wa sasa aliyelewa na cdm ni mfano mzuri wa hayo malezi.
 
Ni kweli Mbowe ajiuzulu chama kimemshinda kabisa. Hafai kuwa kiongozi. Haiwezekani kingozi mzima anashindwa kufanya usajili wa maana chamani zaidi anasajili mafisadi na specialist in failure na kuendekeza ukanda na ukabila Chamani.

Tulitegemea tutapata mabadiliko ndani ya Chadema lakini aa wapi hakuna mabadiliko

Chadema is the worst political part in Tanzania.
Sina chama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikio la kufa zibuka usikie hii dawa. Mhe. Mbowe umeivuruga CHADEMA unadhani hawa wanaokulamba miguu hawajui kwamba umefeli! Hashaa wanajua ila wapo upande wako ili watoto wao waendelee kwenda chooni na ma sweetheart wao waendelee kuwakoga mashoga zao mtaani aidha kwa wao wanasubiri hatma iwahukumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pumba tupu! We aint buying shit!
Mwambie Julius Malema aachie ngazi kwenye chama chake kwanza.
Tatizo siyo Mbowe kama nyie wajinga mnavyotaka kuaminisha watu, tatizo ni vyombo vya dola na NEC-ccm.
 
Watu wanafikiria kuwapoteza watu kama Kitila, Mwigamba, ni jambo dogo... wengine tuna maslahi zaidi na CHADEMA kuliko watu wanavyofikiria. Tungeshindwa uchaguzi fair and square 2015 leo tungekuwa kwingine kabisa...
Mzee unateseka sana. Ulimponda Lowasa akiwa CHADEMA< karudi CCM Kimya. Hivyo hivyo kwa Sumaye & Co. Kwa nini unajifanya una uchungu sana na CHADEMA, wamekuomba uwahurumie?? Na kile kijarida chako cha CHECHE vipi cheche zimeisha??
 
Unaandika maneno mengi lkn yasiyo na mantiki yoyote. Hilo la kujiuzulu linakuwa na msingi kama watu mmeshindwa katika uchaguzi unaoandaliwa na kusimamiwa na tume huru ya uchaguzi.

Kushindwa huku tume yenyewe ikiwa ni ya yule mnayeshindana naye sasa huo ushindi una mantiki yoyote kweli hapo, si ni takataka tu hiyo.

Yanga anacheza na Simba kisha Yanga anachapwa 8-0 huku marefa wa mechi wakiwa Haji Manara, Mo Dewji na Zakaria Hans Pope na commissar Aden Rage.

Sasa huo ni ushindi kweli. Mleta mada hauna lolote kwani siku hizi umejiongeza kwenye ile orodha "Infamous" ya Wachumia Tumbo maanake hata reasoning ndogo tu hauna.
You've sunk too low.
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Hili ni swali ambalo linahitaji jibu. Kwenye nchi na vyama vya kidemokrasia mojawapo ya kanuni muhimu ni ile inayotaka viongozi wa juu wa chama kuwajibika mara moja pale vyama vyao vinaposhindwa uchaguzi. Hili ni kweli hasa pale kiongozi anapowekeza mkakati mzito na kuwaaminisha wanachama na mashabiki wake kuwa mkakati au msimamo waliochukua utakipa chama ushindi mkubwa. Mkakati au msimamo huo unaposhindwa viongozi wale hawatakiwi kuendelea na madaraka na badala yake hutangaza kuachia ngazi ili kutoa nafasi kwa viongozi wengine kuja na msimamo na mkakati mwingine ambao ni tofauti na ule mwingine. Nitatoa mifano michache.

Uingereza: Jeremy Corbyn
Bw. Corbyn alikuwa ni kiongozi wa chama cha Labour cha Uingereza akiwa kinyume kimisimamo na mwelekeo na uongozi wa Boris Johnson wa chama cha Conservatives. Katika mjadala wa kuondoka ama kuondoka au kubakia ndani ya Jumuiya ya Ulaya Corbyn aliongoza harakati za kubakia kwa muda mrefu. Alibeza misimamo na mipango ya chama cha Conservatives na hata kutaka uchaguzi mwingine ufanyike kuona wananchi wanasemaje.

Kufuatia matokeo ya uchaguzi mwezi Disemba mwaka jana ambayo yaliona Bw. Johnson akishinda na kupata wabunge wengi zaidi Corbyn alijua kuwa msimamo na mkakati wake umekataliwa na wananchi. Japo yeye mwenyewe alichaguliwa katika jimbo lake lakini alikiri kuwa hatokuwa tayari kukiongoza chama hicho kuelekea kampeni nyingine ya uchaguzi.

India: Rahul Gandhi
Licha ya kuwa na jina kubwa katika siasa za India, kiongozi wa chama cha Congress Gandhi alitarajiwa kubeba chama hicho ambacho familia na ukoo wake ulikuwa kama umekihodhi katika ngazi za juu kwa karibu nusu karne. Hata hivyo, baada ya kushindwa chaguzi za April na Mei mwaka jana, Gandhi alijikuta hana namna nyingine isipokuwa kukubali kuwa yeye hakuwa tena mtu sahihi wa kukiongoza chama hicho.

Katika kauli yake ya kujiuzulu Gandhi alisema "kuwajibika ni muhimu sana katika kuhakikisha chama chetu kinakua huko mbeleni. Ni kwa sababu hiyo nimeamua kujiuzulu nafasi yangu kama Rais wa chama". Hii haina maana hakuwa na mchango, au kuwa alikuwa kiongozi mbaya. Alichofanya ni somo la kawaida la demokrasia; kiongozi akishndwa kuongoza chama chake kushinda uchaguzi anatakiwa kujiuzulu siyo kutafuta udhuru.

Korea Kusini: Hoong Joon Pyo (kiongozi wa upinzani)
Mwaka 2018 chama cha Liberty Korea Party chini ya uongozi wa Bw. Pyo kilijikuta kinabwagwa vibaya kwenye uchaguzi mkuu kiasi cha kumfanya kiongozi huyo kukubali kubeba lawama zote za kushindwa huko na kuamua kujiuzulu.

Taiwan: Mwenyekiti Wu Den yii wa KMT
Baada ya kubwagwa vibaya kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka Huu uongozi mzima wa chama cha KMT uliandika barua zake kujiuzulu ili kuwajibikwa kwa matokeo mabaya ya uchaguzi huo. Mwenyekiti Wu Den yii (cheo sawa na cha Mbowe) akiongozi Sekretariati yake waliandika barua ya kujiuzulu mbele ya Kamati Kuu. Wu alikuwa ameapa kuwa mkakati wake wa uchaguzi utakipatia chama hicho angalau nusu ya viti vyote vya wabunge. Hilo halikutokea! na Walishindwa kwenye Urais kwa tofauti ya asilimia 20 ya kura!

Afrika Kusini: Mmusi Maimane wa DA
Kiongozi huyo alikuwa ni moto moto na alijaribu sana kukivutia chama cha DA kwa weusi wa Afrika ya Kusini. Hata hivyo, juhudi zake hizo hazikuweza kukifanya chama hicho kufanya vizuri zaidi kulinganisha na ANC ambayo ilikuwa inakumbwa na kashfa nyingi. Licha ya kashfa hizo chama cha DA hakikuweza kuvutia weusi wengi. Maimane aliamua kujiuzulu baada ya mikakati na mbingu zake zote kushindwa.

Mifano yote hiyo michache na ipo mingine mingi inatuonesha mambo mengi. Kubwa ni kuwa kiongozi wa chama cha siasa anaposhindwa kutimiza ndoto aliyowahidi wananchi wake yampasa yeye ajiuzulu na kama katika maamuzi hayo aliungwa mkono na viongozi wengine wa juu nao pia yawapasa kujiuzulu.

Mbowe na CHADEMA
Katika siasa zetu za Tanzania inasikitisha kuwa mikakati mbalimbali iliyobuniwa na MBowe na kutekelezwa na harakati mbalimbali imeonesha kufeli zaidi. Watu wamebakia kujivunia mavazi na rangi za magari na wingi wa misemo yenye kuvutia. Wakati umefika kwa Mbowe kujipima kama hawa viongozi wengine na kuona kama kweli anastahili kuiongoza CHADEMA kuelekea uchaguzi mkuu wa 2020 baada ya kukiongoza chama hicho katika kufanya maamuzi mabovu, ya hatari na yenye kukidhoofisha zaidi.

Ni Tanzania tu ambapo kiongozi wa upinzani anakiongoza chama katika kushindwa katika kila uchaguzi na bado anatarajiwa kuendelea kukiongozi miaka mingine. Ni Tanzania tu kiongozi wa upinzani anahukumiwa siyo kwa kuwezesha kuingia madarakani bali kwa kuangalia ni kura ngapi zimeongezeka kwenye mahesabu!

Binafsi naamini kuondoka kwa Mashinji leo kuwe ndio msumari wa mwisho wa kuonesha ubaya, na upotofu wa maamuzi ya Mbowe kama Mwenyekiti. Suala hili ni suala la kidemokrasia na siyo suala la binafsi. Na ninaamini Sekretariati nzima ya CHADEMA isijiuzulu na kutoa nafasi kwa wanachama wengine kushika hatamu za uongozi wa chama kuelekea uchaguzi mkuu wa 2020. Kuendelea kujificha kwenye kumlaumu Magufuli na CCM ni kujaribu kutafuta visingizio visivyoisha. Tangu 2005 hadi leo hii bado upinzani chini ya MBowe haujapata dawa sawasawa ya kukabiliana na CCM.

Kuukataa ukweli huu ni sawasawa na mtu anayejifumba macho kujificha na mwanga wa tochi unaommulika. Ni kweli anaweza asiuone mwanga huo lakini haina maana kwenye mwanga huo yeye haonekani.

Kudai ati "CCM iweke usawa" ati "tunapambana na dola" na kuwa "Magufuli ameminya demokrasia" ni visingizio vilivyopitwa na wakati na ambayo havina msingi katika uelewa wa siasa za kawaida za upinzani mahali popote duniani. Wale wapinzani wanaotaka chama tawala kiwatengenezee mazuria, kuwapambia maua na kuwaimbia nyimbo za kuwatia moyo hawafai hata chembe kuendelea kuuongoza upinzani huo.

Ni wakati wa Ndg. Freeman Mbowe kuamua kujiuzulu mara moja na siyo kutafuta udhuru na visingizio vya kushindwa. Afuate mfuano wa viongozi wengine ambao waliweza kuuangalia ukweli wa kushindwa kwao na kuusalimu kwa kujiuzulu.

Labda, Labda, UPINZANI wa kweli unaweza kuibuka.

MM. Mwanakijiji
Mzee Mwanakijiji nadhani unakuza fikra zako juu ya Aina ya siasa za Tanzania na kuona kuwa ni vizuri Mbowe akajiuzulu..... Kwanza hebu jaribu kuangalia haraka ni nani anayeweza kubeba na kusimama imara katika upinzani kama Mbowe. Lakini pia kwa mizania kutokuwa sawa dhidi ya viongozi wa vyama mbadala na wafuasi wao na pia kwa Aina ya siasa kwasasa na kwa faida ya taifa hili Mbowe ndiye anafaa kuwa kiongozi wa CHADEMA na upinzani kwa ujumla hapa Tanzania.
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Hili ni swali ambalo linahitaji jibu. Kwenye nchi na vyama vya kidemokrasia mojawapo ya kanuni muhimu ni ile inayotaka viongozi wa juu wa chama kuwajibika mara moja pale vyama vyao vinaposhindwa uchaguzi. Hili ni kweli hasa pale kiongozi anapowekeza mkakati mzito na kuwaaminisha wanachama na mashabiki wake kuwa mkakati au msimamo waliochukua utakipa chama ushindi mkubwa. Mkakati au msimamo huo unaposhindwa viongozi wale hawatakiwi kuendelea na madaraka na badala yake hutangaza kuachia ngazi ili kutoa nafasi kwa viongozi wengine kuja na msimamo na mkakati mwingine ambao ni tofauti na ule mwingine. Nitatoa mifano michache.

Uingereza: Jeremy Corbyn
Bw. Corbyn alikuwa ni kiongozi wa chama cha Labour cha Uingereza akiwa kinyume kimisimamo na mwelekeo na uongozi wa Boris Johnson wa chama cha Conservatives. Katika mjadala wa kuondoka ama kuondoka au kubakia ndani ya Jumuiya ya Ulaya Corbyn aliongoza harakati za kubakia kwa muda mrefu. Alibeza misimamo na mipango ya chama cha Conservatives na hata kutaka uchaguzi mwingine ufanyike kuona wananchi wanasemaje.

Kufuatia matokeo ya uchaguzi mwezi Disemba mwaka jana ambayo yaliona Bw. Johnson akishinda na kupata wabunge wengi zaidi Corbyn alijua kuwa msimamo na mkakati wake umekataliwa na wananchi. Japo yeye mwenyewe alichaguliwa katika jimbo lake lakini alikiri kuwa hatokuwa tayari kukiongoza chama hicho kuelekea kampeni nyingine ya uchaguzi.

India: Rahul Gandhi
Licha ya kuwa na jina kubwa katika siasa za India, kiongozi wa chama cha Congress Gandhi alitarajiwa kubeba chama hicho ambacho familia na ukoo wake ulikuwa kama umekihodhi katika ngazi za juu kwa karibu nusu karne. Hata hivyo, baada ya kushindwa chaguzi za April na Mei mwaka jana, Gandhi alijikuta hana namna nyingine isipokuwa kukubali kuwa yeye hakuwa tena mtu sahihi wa kukiongoza chama hicho.

Katika kauli yake ya kujiuzulu Gandhi alisema "kuwajibika ni muhimu sana katika kuhakikisha chama chetu kinakua huko mbeleni. Ni kwa sababu hiyo nimeamua kujiuzulu nafasi yangu kama Rais wa chama". Hii haina maana hakuwa na mchango, au kuwa alikuwa kiongozi mbaya. Alichofanya ni somo la kawaida la demokrasia; kiongozi akishndwa kuongoza chama chake kushinda uchaguzi anatakiwa kujiuzulu siyo kutafuta udhuru.

Korea Kusini: Hoong Joon Pyo (kiongozi wa upinzani)
Mwaka 2018 chama cha Liberty Korea Party chini ya uongozi wa Bw. Pyo kilijikuta kinabwagwa vibaya kwenye uchaguzi mkuu kiasi cha kumfanya kiongozi huyo kukubali kubeba lawama zote za kushindwa huko na kuamua kujiuzulu.

Taiwan: Mwenyekiti Wu Den yii wa KMT

Baada ya kubwagwa vibaya kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka Huu uongozi mzima wa chama cha KMT uliandika barua zake kujiuzulu ili kuwajibikwa kwa matokeo mabaya ya uchaguzi huo. Mwenyekiti Wu Den yii (cheo sawa na cha Mbowe) akiongozi Sekretariati yake waliandika barua ya kujiuzulu mbele ya Kamati Kuu. Wu alikuwa ameapa kuwa mkakati wake wa uchaguzi utakipatia chama hicho angalau nusu ya viti vyote vya wabunge. Hilo halikutokea! na Walishindwa kwenye Urais kwa tofauti ya asilimia 20 ya kura!

Afrika Kusini: Mmusi Maimane wa DA
Kiongozi huyo alikuwa ni moto moto na alijaribu sana kukivutia chama cha DA kwa weusi wa Afrika ya Kusini. Hata hivyo, juhudi zake hizo hazikuweza kukifanya chama hicho kufanya vizuri zaidi kulinganisha na ANC ambayo ilikuwa inakumbwa na kashfa nyingi. Licha ya kashfa hizo chama cha DA hakikuweza kuvutia weusi wengi. Maimane aliamua kujiuzulu baada ya mikakati na mbingu zake zote kushindwa.

Mifano yote hiyo michache na ipo mingine mingi inatuonesha mambo mengi. Kubwa ni kuwa kiongozi wa chama cha siasa anaposhindwa kutimiza ndoto aliyowahidi wananchi wake yampasa yeye ajiuzulu na kama katika maamuzi hayo aliungwa mkono na viongozi wengine wa juu nao pia yawapasa kujiuzulu.

Mbowe na CHADEMA
Katika siasa zetu za Tanzania inasikitisha kuwa mikakati mbalimbali iliyobuniwa na MBowe na kutekelezwa na harakati mbalimbali imeonesha kufeli zaidi. Watu wamebakia kujivunia mavazi na rangi za magari na wingi wa misemo yenye kuvutia. Wakati umefika kwa Mbowe kujipima kama hawa viongozi wengine na kuona kama kweli anastahili kuiongoza CHADEMA kuelekea uchaguzi mkuu wa 2020 baada ya kukiongoza chama hicho katika kufanya maamuzi mabovu, ya hatari na yenye kukidhoofisha zaidi.

Ni Tanzania tu ambapo kiongozi wa upinzani anakiongoza chama katika kushindwa katika kila uchaguzi na bado anatarajiwa kuendelea kukiongozi miaka mingine. Ni Tanzania tu kiongozi wa upinzani anahukumiwa siyo kwa kuwezesha kuingia madarakani bali kwa kuangalia ni kura ngapi zimeongezeka kwenye mahesabu!

Binafsi naamini kuondoka kwa Mashinji leo kuwe ndio msumari wa mwisho wa kuonesha ubaya, na upotofu wa maamuzi ya Mbowe kama Mwenyekiti. Suala hili ni suala la kidemokrasia na siyo suala la binafsi. Na ninaamini Sekretariati nzima ya CHADEMA isijiuzulu na kutoa nafasi kwa wanachama wengine kushika hatamu za uongozi wa chama kuelekea uchaguzi mkuu wa 2020. Kuendelea kujificha kwenye kumlaumu Magufuli na CCM ni kujaribu kutafuta visingizio visivyoisha. Tangu 2005 hadi leo hii bado upinzani chini ya MBowe haujapata dawa sawasawa ya kukabiliana na CCM.

Kuukataa ukweli huu ni sawasawa na mtu anayejifumba macho kujificha na mwanga wa tochi unaommulika. Ni kweli anaweza asiuone mwanga huo lakini haina maana kwenye mwanga huo yeye haonekani.

Kudai ati "CCM iweke usawa" ati "tunapambana na dola" na kuwa "Magufuli ameminya demokrasia" ni visingizio vilivyopitwa na wakati na ambayo havina msingi katika uelewa wa siasa za kawaida za upinzani mahali popote duniani. Wale wapinzani wanaotaka chama tawala kiwatengenezee mazuria, kuwapambia maua na kuwaimbia nyimbo za kuwatia moyo hawafai hata chembe kuendelea kuuongoza upinzani huo.

Ni wakati wa Ndg. Freeman Mbowe kuamua kujiuzulu mara moja na siyo kutafuta udhuru na visingizio vya kushindwa. Afuate mfuano wa viongozi wengine ambao waliweza kuuangalia ukweli wa kushindwa kwao na kuusalimu kwa kujiuzulu.

Labda, Labda, UPINZANI wa kweli unaweza kuibuka.

MM. Mwanakijiji

Tatizo la a Tanzania ni demokrasia sio vyama vya upinzani. Watanzania wenyewe wamelala na hili ndilo tatizo
 
48 Reactions
Reply
Back
Top Bottom