Uchaguzi 2020 Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Serengeti atupilia mbali mapingamizi yote, Wabunge na madiwani walioteuliwa ruksa kushiriki Uchaguzi

denooJ

JF-Expert Member
Mar 31, 2020
18,511
68,141
Kama tangazo linavyojionesha hapo chini, sijui wakurugenzi wengine wanasubiri nini kufuata mfano wake.

Inapendeza sana kiongozi kuwa na maamuzi yake kama alivyofanya huyu Mkurugenzi, watu wa aina hii ndio wanaliondolea hili taifa aibu mbele ya jumuia ya kimataifa.

Natumai na wengine watafuata mfano wake.

EgmrO6TXYAIMKb6.jpg
 
Ufalme wa Tundu Lissu utakukumbuka kwa kuwa mtu wa kwanza kwenye mfumo wa kijani kupingana nao na kumua demokrasia ichukue mkondo wake
 
Unashangilia hiyo wakati wenzenu wama wabunge 18 ambao tayari wameshathibitishwa na tume
 
Hapa ndio utajua kama bawacha wana akili timamu au lah hahaha watamsifu
 
Back
Top Bottom