denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Kama tangazo linavyojionesha hapo chini, sijui wakurugenzi wengine wanasubiri nini kufuata mfano wake.
Inapendeza sana kiongozi kuwa na maamuzi yake kama alivyofanya huyu Mkurugenzi, watu wa aina hii ndio wanaliondolea hili taifa aibu mbele ya jumuia ya kimataifa.
Natumai na wengine watafuata mfano wake.
Inapendeza sana kiongozi kuwa na maamuzi yake kama alivyofanya huyu Mkurugenzi, watu wa aina hii ndio wanaliondolea hili taifa aibu mbele ya jumuia ya kimataifa.
Natumai na wengine watafuata mfano wake.