Huyu msimamizi ana nyodo sana, jana kakataa kuwateua wagombea Udiwani wa Vyama vya Upinzani ikiwemo CHADEMA na ACT.
Anadai kuwa hawakulipa shilingi elfu 5 za ada ya kugombea wakati risiti wanazo na waliambatanisha.
Ikiwa imesalia chini ya saa 1 KWA AJILI YA RUFAA, bado hataki kutoa fomu ya rufaa hata baada ya wagombea kwenda wilayani kwa Msimamizi na kuagiza wapewe, yeye anasema fomu za rufaa zifuateni DODOMA.
Je, huyu mtu nani anamlinda? Je, yupo juu ya Sheria? na je Sheria inasemaje kama mkata rufaa kanyimwa fomu ya rufaa na mrufaniwa?
Anadai kuwa hawakulipa shilingi elfu 5 za ada ya kugombea wakati risiti wanazo na waliambatanisha.
Ikiwa imesalia chini ya saa 1 KWA AJILI YA RUFAA, bado hataki kutoa fomu ya rufaa hata baada ya wagombea kwenda wilayani kwa Msimamizi na kuagiza wapewe, yeye anasema fomu za rufaa zifuateni DODOMA.
Je, huyu mtu nani anamlinda? Je, yupo juu ya Sheria? na je Sheria inasemaje kama mkata rufaa kanyimwa fomu ya rufaa na mrufaniwa?