analysti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 729
- 612
Hi every body, nilikuwa nikisikiliza kutangazwa kwa mshindi wa uchaguzi mdogo huko igunga, nikapigwa na butwaa pale msimamizi mkuu wa uchaguzi alipomtangaza kafumu kuwa kashinda na kisha akapiga kelele IGUNGA HOYEEEEEEEEEEE!!!!
Mashabiki wa CCM wakaitikia Hoyeeee!!.
Ndugu wana JF Mimi concern yangu hapa ni picha anayotuonyesha huyu bwana, Ni kwamba anajidhihirisha kabisa kuwa amefurahia haya matokeo, ikiwa na maana kuwa kabla ya uchaguzi angelipenda yawe hivi, hivyo basi ni dhahiri kuwa yeye kama msimamizi mkuu wa uchaguzi amehakikisha matokeo haya yamekuwa kama yalivyo, kitu kinacho tuondolea imani na uhalisia wa matokeo haya.
Nahitimisha kwa kusema kuwa, msimamizi mkuu wa uchaguzi wa Igunga ameudhihirishia umma kuwa yeye ni shabiki wa CCM kinyume na Kanuni zinavyomtaka msimamizi mkuu wa uchaguzi awe!!!!
Mashabiki wa CCM wakaitikia Hoyeeee!!.
Ndugu wana JF Mimi concern yangu hapa ni picha anayotuonyesha huyu bwana, Ni kwamba anajidhihirisha kabisa kuwa amefurahia haya matokeo, ikiwa na maana kuwa kabla ya uchaguzi angelipenda yawe hivi, hivyo basi ni dhahiri kuwa yeye kama msimamizi mkuu wa uchaguzi amehakikisha matokeo haya yamekuwa kama yalivyo, kitu kinacho tuondolea imani na uhalisia wa matokeo haya.
Nahitimisha kwa kusema kuwa, msimamizi mkuu wa uchaguzi wa Igunga ameudhihirishia umma kuwa yeye ni shabiki wa CCM kinyume na Kanuni zinavyomtaka msimamizi mkuu wa uchaguzi awe!!!!