Elections 2010 msilazimishe kupewa data

Mtu Mmoja

JF-Expert Member
Mar 18, 2010
593
64
naomba nitofautiane na wengi wetu hapa JF.

mtu anapoleta habari si lazima awe na data. hata tetesi, uvumi, umbea nk zote ni habari ili mradi zisiwe za uongo.

hata ukichunguza habari nyingi zilizoanza kutiririka tangu kura zilipopigwa hazikuja na data na baadaye ilikuja kuthibitishwa kuwa ni za kweli. kwa hiyo hata kama habari haina data inaendelea kuwa usefu unless you prove otherwise. msikatishe watu kuleta habari kwa kisingizio cha kuambatana na data au figures nk kwani hamjui zilivyowafikia. hapa siungi mkono uongo na habari za kutunga ili kuwarusha watu roho.

mwisho kumbukeni kuwa science isnt everything in life na kuwa si kila mtu ni scientist na pia kuwa si kila scientist anatumia data/figures
 
Naomba nitofautiane na wewe uliyeandika post hii.

Mtu anayejijua anaandika kitu ambacho hana data nacho, aende akaandike kwenye jukwaa la UTANI / UDAKU huko ndiko kunakostahili.

Watu wanaoingia katika jukwaa la siasa / uchaguzi wanategemea kupata taarifa za sahihi na sio porojo. Kuthibitisha hili angalia idadi ya watu wanaoingia katika jukwaa hili na huko udaku ni ndogo, means watu hawana muda wa kupoteza kwa porojo / tetesi / udaku

INSHORT, ANGALIA UNACHOTAKA KUANDIKA NA ANGALIA JUKWAA LINALOFANANA NALO. TUSIPOTEZEANE WAKATI WA KUSOMA VITU VISIVYO VYA KWELI.
 
asa long as hicho unachoita tetesi/porojo/udaku/umbeya nk is political (and not a joke/utani) and relates to uchaguzi tz kama lilivyo jina la jukwaa, has proved useful, sioni sababu kwa nini unakikataa.

narudia tena, ninukuu vizuri:
"science isnt everything in life na kuwa si kila mtu ni scientist na pia kuwa si kila scientist anatumia data/figures"
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom