LENGIO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 1,096
- 508
Huyo Risasi Maulanga anaayejita balozi wa amani anaongea utumbo kwenye Star Tv, eti madiwani na viongozi wanaohama chama kwenda chama kingine washatakiwa na wapewe adhabu kubwa.
Anamsifia raisi Kikwete ni raisi mwenye upeo wa hali ya juu sana. Nafikiri ndio maana mtatiro amekata huo mualiko wa Star Tv na hakika angempiga magumi kwa utumbo anayoögea huyu kada wa CCM.
Anamsifia raisi Kikwete ni raisi mwenye upeo wa hali ya juu sana. Nafikiri ndio maana mtatiro amekata huo mualiko wa Star Tv na hakika angempiga magumi kwa utumbo anayoögea huyu kada wa CCM.