Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli Lukuvu na wenzake ni janga kwa taifa letu, Mungu ebu ona uso wake Mwigulu yupo pale wanatuhadaa. Eti Polisi walizuiwa kumkamata mhalivu wakati Polisi ndio waliwazuia raia kumkamata. Mungu waumbue mchana wauaji hawa. Siwapeni basi tuu.
Haya matukio yote ya mauaji katika chaguzi yamepangwa na serikali yote inajua,naungana na kauli ya mbowe KUB kwamba kulikua hakuna haja ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi kama vyama vinavyokubalika kwa wananchi,wanachama wanauawa kwasababu tu wamekubali kufuata mfumo wa vyama vingi.Kwamfano Baba na mama yangu ni wanachama wa CUF, kaka yangu ni TLP na mimi na wadogo zangu na mke wangu na mwanangu ni wanachama na wafuasi wa CHADEMA.Lakini hatugombani kwamaana TUMEKUBALI KUTOKUKUBALIANA katika vyama.Na nyumbani kwangu napeperusha bendera ya CHADEMA, ofisi nimeweka bendera ya taifa na mezani kwangu ofisini kuna ilani ya CCM kwasababu ni muajiriwa serikalini.Kwenye komputa yangu kuna ilani ya CHADEMA na CUF.Huu ndo ustaarabu wa vyama vingi.
hatuna ulinzi sasa tanzania si salama matukio makubwa yanatokea tukiwa na eti wanaojiita wanausalama kumbe ndio wanawalinda wahalifu sasa kila mtu ajilinde.maana hatuon kazi ya huyu anaejiita mkuu wa ulinz na usalama kumbe ni kwa maslai ya ,,,.......
Mwema atakuwa amelipata hili.Mwigulu ndio anausika na mlipuko haya nipeni mil 10 yangu nitumieni kwenye Hits-pesa 0741012345
Kwa kweli Lukuvu na wenzake ni janga kwa taifa letu, Mungu ebu ona uso wake Mwigulu yupo pale wanatuhadaa. Eti Polisi walizuiwa kumkamata mhalivu wakati Polisi ndio waliwazuia raia kumkamata. Mungu waumbue mchana wauaji hawa. Siwapeni basi tuu.