mukizahp2
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 706
- 377
Kuna mmoja kule Singapore akiwa na Baba Mwanaasha aka Baba Ritz aka Fast Jet aliambiwa jitambulishe akaanza kuiongelea CDM. Wazee wa Toyota wakawa wanamwita CDM WAKIJUA NI JINA LAKE
Vp unatutajia walopokaji a.k.a premature, lema, mcgwa, sugu hawa nao wanawakilisha wananch? Sion wakisemea matatizo ya wananchi zaid ya kuropoka. Unauliza CCM imefanya nin? Mkubwa kichiz hata hujui! Mburula wewe. Sahz unaandika jf bila ccm ungejua kuandika wewe? Ndo sbb hamkubalik, et toka uhuru serikali haijafanya k2!