Msikilize Mhe. Riziki Shahali Ngwali, aliyekuwa Tume ya Jaji Warioba akichangia Bajeti Dodoma

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,196
25,516
Mama huyu alikuwa kwenye Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyoongozwa na Jaji Joseph Sinde Warioba. Kwasasa, ni Mbunge wa Viti Maalum wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CUF. Hapa kwenye video anaonekana akichangia Bajeti ya mwaka 2017/2018.

Mama Ngwali huyu hapa:

 
Mama Ngwali ni mtu makini sana, nimekuwa nikisiliza michango yake kwa kweli huyu mama ana uelewa wake ni kiwango cha juu.
 
Back
Top Bottom