Msikilize Harmonize akihojiwa na Salim Kikeke wa BBC, anena mazito

Wabongo bana sisi tunashida.Ata uwe na shida serious ukiwauliza ni bla bla tu.
 
Kwani imekuwaje
Hakika kwa maelezo aliyoyatoa Harmonize ni wazi ameshindwa kuondoka WCB na mimi nasema wazi Harmonize ameshindwa kuondoka kabisa WCB

Naona alifanya haraka sana kutaka kujitoa WCB ndio maana hana majibu kabisa na limekuwa swali baya sana kwake na linamtesa!

Alitakiwa kujipanga kwanza kabla ya kuomba kujitoa WCB.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom