Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Aaahaaaa hawa bwana sijui walitolewa chooni kuja kuchaguliwa
ameulizwa kuhusu ubalozi wa libya kuweka bendera ya waasi je tunaitambua serikali ya waasi
akadai hilo alinisumbui wakiweka ainisumbui swala ni kama wakileta mtu wao mwingine hapo procedure lazima
zifwate sasa anaulizwa hawa jamaa wanaweza kuamua saaa yoyote kujiwekea bendera wanayotaka na kama
hivyo je alipoleta utambulisho alitumia bendera ya nchi gani na kama ni tofauti yyyyyyyyy waweke bendera wanavyotaka wao???
Narudia tena hilo alitusumbui waweke hata bendera mia
loooohh kazi ipo kwa kweli
ameulizwa kuhusu ubalozi wa libya kuweka bendera ya waasi je tunaitambua serikali ya waasi
akadai hilo alinisumbui wakiweka ainisumbui swala ni kama wakileta mtu wao mwingine hapo procedure lazima
zifwate sasa anaulizwa hawa jamaa wanaweza kuamua saaa yoyote kujiwekea bendera wanayotaka na kama
hivyo je alipoleta utambulisho alitumia bendera ya nchi gani na kama ni tofauti yyyyyyyyy waweke bendera wanavyotaka wao???
Narudia tena hilo alitusumbui waweke hata bendera mia
loooohh kazi ipo kwa kweli