Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,268
- 33,041
If you born poor its not your mistake but if you die poor its your mistake
Je ni kweli lakini?
Je ni kweli lakini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio ulaya tu, hata kwetu. Mungu katupa mikono miguu macho na akili hatuvitumii twasingizia magamba, juhudi binafsi na kujitoa kwa dhati ktk shughuli tunazofanya ndo zitatuoa kwenye lindi la umaskini uliokubuhu. tufanye kazi kwa juhudi tutafanikiwa
Mbona madaktari wenzako (Interns) wanalia mshahara hautoshi au wewe umetumia stahili ile ile ya chukua chako mapema. Maana tunasikia dawa zinasambazwa na MSD kila siku lakini hazitoshi mahospitalini bana.Hii kauli inaukweli fulani, nikiangalia mimi kwetu tulikuwa masikini lakini mama amepika pombe nikasoma na wadogo zangu. Na tangu nikiwa shule sikuwahi kuamini kuwa mimi ni masikini ingawa nilikuwa naganga maisha kweli. Kwa sasa nakula maisha mimi na wife wote ni Madaktari nina miezi 9 kazini ninamiliki gari moja shamba eka nne, na viwanja viwili morogoro na Pwani. Ingawa viwanja nimenunua nikiwa internship, kwa kipindi cha miezi 6 nimenunua gari na shamba la eka 4. Na wadogo zangu wawili wanasoma shule ya private seminary. Kwa hiyo nakubali kauli ya Bill Gate, shule imenitoa na bado naamini sijafika peak ya maendeleo yangu
Mazingira anayoongelea ni kwao...
Huku kwetu magamba wanatubana kila kona, vipi utaweza kufa tajiri, labda uwe fisadi !!
Hii kauli inaukweli
fulani, nikiangalia mimi kwetu tulikuwa masikini lakini mama amepika
pombe nikasoma na wadogo zangu. Na tangu nikiwa shule sikuwahi kuamini
kuwa mimi ni masikini ingawa nilikuwa naganga maisha kweli. Kwa sasa
nakula maisha mimi na wife wote ni Madaktari nina miezi 9 kazini
ninamiliki gari moja shamba eka nne, na viwanja viwili morogoro na
Pwani. Ingawa viwanja nimenunua nikiwa internship, kwa kipindi cha miezi
6 nimenunua gari na shamba la eka 4. Na wadogo zangu wawili wanasoma
shule ya private seminary. Kwa hiyo nakubali kauli ya Bill Gate, shule
imenitoa na bado naamini sijafika peak ya maendeleo yangu
Kumbe madaktari mambo mazuri,halafu mnalalamika mshahara hautoshi.Kama ndani ya miezi sita umeweza kununua prado na shamba heka nne na watoto wawili unasomesha private basi kumbe kulalamika kwenu kote na kuacha kuhudumia watanzania wasio na hatia mahospitalini na wengi wao wakapoteza maisha yao kulikuwa hakuna maana yoyote.Hii kauli inaukweli fulani, nikiangalia mimi kwetu tulikuwa masikini lakini mama amepika pombe nikasoma na wadogo zangu. Na tangu nikiwa shule sikuwahi kuamini kuwa mimi ni masikini ingawa nilikuwa naganga maisha kweli. Kwa sasa nakula maisha mimi na wife wote ni Madaktari nina miezi 9 kazini ninamiliki gari moja shamba eka nne, na viwanja viwili morogoro na Pwani. Ingawa viwanja nimenunua nikiwa internship, kwa kipindi cha miezi 6 nimenunua gari na shamba la eka 4. Na wadogo zangu wawili wanasoma shule ya private seminary. Kwa hiyo nakubali kauli ya Bill Gate, shule imenitoa na bado naamini sijafika peak ya maendeleo yangu
Hii kauli inaukweli fulani, nikiangalia mimi kwetu tulikuwa masikini lakini mama amepika pombe nikasoma na wadogo zangu. Na tangu nikiwa shule sikuwahi kuamini kuwa mimi ni masikini ingawa nilikuwa naganga maisha kweli. Kwa sasa nakula maisha mimi na wife wote ni Madaktari nina miezi 9 kazini ninamiliki gari moja shamba eka nne, na viwanja viwili morogoro na Pwani. Ingawa viwanja nimenunua nikiwa internship, kwa kipindi cha miezi 6 nimenunua gari na shamba la eka 4. Na wadogo zangu wawili wanasoma shule ya private seminary. Kwa hiyo nakubali kauli ya Bill Gate, shule imenitoa na bado naamini sijafika peak ya maendeleo yangu
Hii kauli inaukweli fulani, nikiangalia mimi kwetu tulikuwa masikini lakini mama amepika pombe nikasoma na wadogo zangu. Na tangu nikiwa shule sikuwahi kuamini kuwa mimi ni masikini ingawa nilikuwa naganga maisha kweli. Kwa sasa nakula maisha mimi na wife wote ni Madaktari nina miezi 9 kazini ninamiliki gari moja shamba eka nne, na viwanja viwili morogoro na Pwani. Ingawa viwanja nimenunua nikiwa internship, kwa kipindi cha miezi 6 nimenunua gari na shamba la eka 4. Na wadogo zangu wawili wanasoma shule ya private seminary. Kwa hiyo nakubali kauli ya Bill Gate, shule imenitoa na bado naamini sijafika peak ya maendeleo yangu
Mazingira anayoongelea ni kwao...
Huku kwetu magamba wanatubana kila kona, vipi utaweza kufa tajiri, labda uwe fisadi !!