Uchaguzi 2020 Msikie 'Mrisho Mpoto' wa Coco Beach akituma salamu mahsusi kwa Dkt. Magufuli kuhusu Uchaguzi

Itendee haki nafsi yako kesho ni siku maalumu ya kulipiza kisasi kwa mabaya yote uliyotendewa na Utawala huu dhalimu.Weka tiki (vema) kwenye jina la mwisho la mgombea, hakikisha hiyo vema ama tiki yako haitoki nje ya kibox (kisanduku). Pia usitoboe macho kwa mgombea number moja kwa hasira maana kufanya hivyo utakuwa umeharibu kura yako.
 
Wanabodi,

Kuna vitu vingine vya Magufuli alivyofanya, watu hawavijui, na sio vya kuhadithiwa, hebu msikilize mwenyewe huyu huyu Kibonge Mweusi ambaye ni 'Mrisho Mpoto' wa Coco Beach, bwana Benard Mwinuka, akituma salaam mahsus kwa JPM, wao pale Coco Beach, wanamwita Magufuli, Uncle Magu, sikiliza wana Coco Beach, wanasema nini kwa Magufuli na watamshukurije kwa alicho watendea?

Sikiza mwenyewe


Paskali

Ni wewe ulimuuliza Jiwe swali akasema kwa kisukuma Mayalla ni njaaa kweli njaa mbaya
 
Wanabodi,

Kuna vitu vingine vya Magufuli alivyofanya, watu hawavijui, na sio vya kuhadithiwa, hebu msikilize mwenyewe huyu huyu Kibonge Mweusi ambaye ni 'Mrisho Mpoto' wa Coco Beach, bwana Benard Mwinuka, akituma salaam mahsus kwa JPM, wao pale Coco Beach, wanamwita Magufuli, Uncle Magu, sikiliza wana Coco Beach, wanasema nini kwa Magufuli na watamshukurije kwa alicho watendea?

Sikiza mwenyewe


Paskali

Acheni usanii bwana .
Hapo Coco Beach, zamani tukiita Oyster Bay beach, kwani hao wana hati miliki?
Na wameipataje?
 
Wanabodi,

Kuna vitu vingine vya Magufuli alivyofanya, watu hawavijui, na sio vya kuhadithiwa, hebu msikilize mwenyewe huyu huyu Kibonge Mweusi ambaye ni 'Mrisho Mpoto' wa Coco Beach, bwana Benard Mwinuka, akituma salaam mahsus kwa JPM, wao pale Coco Beach, wanamwita Magufuli, Uncle Magu, sikiliza wana Coco Beach, wanasema nini kwa Magufuli na watamshukurije kwa alicho watendea?

Sikiza mwenyewe


Paskali

Dah BAVICHA WANAKASIRIKAAA BALAAA HAPAAA MPOTO HOYEEEEEEE
 
Wanabodi,

Kuna vitu vingine vya Magufuli alivyofanya, watu hawavijui, na sio vya kuhadithiwa, hebu msikilize mwenyewe huyu huyu Kibonge Mweusi ambaye ni 'Mrisho Mpoto' wa Coco Beach, bwana Benard Mwinuka, akituma salaam mahsus kwa JPM, wao pale Coco Beach, wanamwita Magufuli, Uncle Magu, sikiliza wana Coco Beach, wanasema nini kwa Magufuli na watamshukurije kwa alicho watendea?

Sikiza mwenyewe


Paskali


Njaa nja njaa njaaa
 
Wanabodi,

Kuna vitu vingine vya Magufuli alivyofanya, watu hawavijui, na sio vya kuhadithiwa, hebu msikilize mwenyewe huyu huyu Kibonge Mweusi ambaye ni 'Mrisho Mpoto' wa Coco Beach, bwana Benard Mwinuka, akituma salaam mahsus kwa JPM, wao pale Coco Beach, wanamwita Magufuli, Uncle Magu, sikiliza wana Coco Beach, wanasema nini kwa Magufuli na watamshukurije kwa alicho watendea?

Sikiza mwenyewe


Paskali



Hii ingetakiwa kuwa na viti ni sehemu ya wazi sio sehemu ya biashara. Kuhusu Gwajima ni usukuma tu hakuna jipya kila mtu anajua hilo
 
mzee wa KURA MOKO wazo lako la kufunga twitter limefanyiwa kazi nenda lumumba karambe buku7.
 
hawa wachumia tumbo wanazingua sana hasa Masanja jana nimemsikia anaropoka ujinga ,anadai wanaosema Magu hafai ni wapuuzi kwa sababu kule Arusha magu kajenga sehemu ya kutupa maji taka ,alienda mbali zaidi na kukejeli kwa kuuliza “unabisha nini wakati maji unayochambia chooni yanakuja hapa alafu unasema JPM hajafanya kitu”
 
Wanabodi,

Kuna vitu vingine vya Magufuli alivyofanya, watu hawavijui, na sio vya kuhadithiwa, hebu msikilize mwenyewe huyu huyu Kibonge Mweusi ambaye ni 'Mrisho Mpoto' wa Coco Beach, bwana Benard Mwinuka, akituma salaam mahsus kwa JPM, wao pale Coco Beach, wanamwita Magufuli, Uncle Magu, sikiliza wana Coco Beach, wanasema nini kwa Magufuli na watamshukurije kwa alicho watendea?

Sikiza mwenyewe


Paskali


😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Magu anawajua sana watanzania na alijua pa kuwakamatia mapemaaa
 
Mimi nilimuheshimu sana Pascal Mallaya.

Ila mzee pascal anazidi kuchanganyikiwa kila siku zinavyozidi kwenda.

Unafiki unamtesa na ile kura moja inamtesa sana.

UNATUHARIBIA VIJANA WA TANZANIA NA HUO UNAFIKI WAKO.
Nakuunga mkono kabisa, Hata ukimwona kwa sasa ni tofauti kabisa na miaka kumi ya kikwete hasa kwenye saba saba.
 
✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️
 
Wanabodi,

Kuna vitu vingine vya Magufuli alivyofanya, watu hawavijui, na sio vya kuhadithiwa, hebu msikilize mwenyewe huyu huyu Kibonge Mweusi ambaye ni 'Mrisho Mpoto' wa Coco Beach, bwana Benard Mwinuka, akituma salaam mahsus kwa JPM, wao pale Coco Beach, wanamwita Magufuli, Uncle Magu, sikiliza wana Coco Beach, wanasema nini kwa Magufuli na watamshukurije kwa alicho watendea?

Sikiza mwenyewe


Paskali

Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuaga rasmi.

Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele.
Sisi tulikupenda, lakini Mungu amekupenda zaidi.
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.
Raha ya Milele Umpe Ee Bwana, na Mwanga wa Milele, Umuangazie, Apumzike kwa Amani...Amina x3.
RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Buriani ya kuonana...
Paskali
 
Back
Top Bottom