Na sasa Zanzibar inatajwa kuliko nchi yeyote ile hapa Afrika na ni baada ya kutokea Rais Mwanamke ambae ni kutokea Zanzibar,msema kweli mpenzi wa Mungu ,Raisi Samia amelipaisha jina la Zanzibar katika kiwango kikuu na kabla jua halijakuchwa kiumbe mwengine akaibuka huyu nae ndio amepigilia msumari wa tangazo la kuirudisha Zanzibar kwenye ramani. Si mwingine ni mshindi wa Nobel au prize ya Nobel. Tuseme Two Mega Star .
Machogo mlikuwa mmetufunika vibaya mno,Nyerere,Mwinyi,Mkapa Kikwete wote hawa waliididimiza Zanzibar na kuifanya kama wilaya hata wananch wa Tanganyika nao walikuwa wanaiona Zanzibar kama kajiwilaya tu mara nyingi wakisikika wakilinganisha ,hujiuliza hawa ndugu zetu wa Muungano kwa nini wanatuona hivyi,wametugeuka ? mipango ya kuifanya nchi moja imetimia ?
Kila wazenji wanavyojipapatua machogo hutoa kichapo,utawasikia wakisema cha mbwa koko,hivi machogo wamekuwa na roho mbaya kiasi hiki ? Huwa siamini ila huishia na kuona ni siasa za CCM kutuvuruga kisha wakae bungeni kirahisi wakitutawala.
Ila Manyani yamemaliza miti sasa wanaparamiana wenyewe kwa wenyewe ni methali ya kiswahili sanifu hio.
Zanzibar wametoa Raisi mwenye kutenda haki habagui hii Tanganyika hii Zanzibar ,haki sawa kwa wote kama Nchi mbili zilizoungana na pia wametoa Mshindi wa Nobel Prize ,watanganyika si haba nao wametoa washindi wa sanaa wenyewe hujiita au huwaita wasanii.Humjui mwanamke wala mwananme wote ni wakata viuno. Na hawainjoi kama hawajafika Zanzibar sijui wanaiona kama Ulaya ? Yaani hata aende Singapore,dubai uarabuni lakini kama hajakanyaga Zanzibar huwa ndoto yake haijatimia. CCM inadumaza akili za wananchi kwa speedi ya mwendo kasi.
Machogo mlikuwa mmetufunika vibaya mno,Nyerere,Mwinyi,Mkapa Kikwete wote hawa waliididimiza Zanzibar na kuifanya kama wilaya hata wananch wa Tanganyika nao walikuwa wanaiona Zanzibar kama kajiwilaya tu mara nyingi wakisikika wakilinganisha ,hujiuliza hawa ndugu zetu wa Muungano kwa nini wanatuona hivyi,wametugeuka ? mipango ya kuifanya nchi moja imetimia ?
Kila wazenji wanavyojipapatua machogo hutoa kichapo,utawasikia wakisema cha mbwa koko,hivi machogo wamekuwa na roho mbaya kiasi hiki ? Huwa siamini ila huishia na kuona ni siasa za CCM kutuvuruga kisha wakae bungeni kirahisi wakitutawala.
Ila Manyani yamemaliza miti sasa wanaparamiana wenyewe kwa wenyewe ni methali ya kiswahili sanifu hio.
Zanzibar wametoa Raisi mwenye kutenda haki habagui hii Tanganyika hii Zanzibar ,haki sawa kwa wote kama Nchi mbili zilizoungana na pia wametoa Mshindi wa Nobel Prize ,watanganyika si haba nao wametoa washindi wa sanaa wenyewe hujiita au huwaita wasanii.Humjui mwanamke wala mwananme wote ni wakata viuno. Na hawainjoi kama hawajafika Zanzibar sijui wanaiona kama Ulaya ? Yaani hata aende Singapore,dubai uarabuni lakini kama hajakanyaga Zanzibar huwa ndoto yake haijatimia. CCM inadumaza akili za wananchi kwa speedi ya mwendo kasi.