sungusungu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 3,055
- 715
Mzee Mwanakijiji ana tofauti gani na Mzee Baba?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili dude mnalibeba, mnaliona, mnasafiri nalo kila mahali Rais anakwenda; halafu wote mmevaa tai vizuri na Rais anaonekana yuko sharp.. halafu anasimama mbele ya hili dude.. kweli kabisa wenzetu mmezoea uchfu namna hii hata hamuuoni... Basi lipakeni rangi ya kuficha uchafu kama hamuwezi kabisa kuwa na kitu kisafi kinachomstahili Rais wa JMT!
Sent using Jamii Forums mobile app