Acheni Mungu aitwe Mungu jamani, bila Mungu kuingilia kati tulikuwa tumekwisha.Yalikua maandalizi ya miaka saba ya nyongeza
Sasa mambo hadharani Spika bado atawakumbatia wale Wasichana?
View attachment 1816878
Sasa mambo hadharani Spika bado atawakumbatia wale Wasichana?
View attachment 1816878
Kumbe Ofisi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatumika kurubuni na kuwatisha Wabunge wetu ili wahamie CCM?
Taasisi yetu imara ya ujasusi ishajifunza, sasaivi kwa anaetangaza nia ya urais, Cha Kwanza watachunguza URAIA wake,MAANA mnaweza mkalaumu kumbe anaewaongoza sio Raia, kwaiyo hana huruma nanyi,Kwakweli hatufanyi sherehe kwa kifo cha mwendazake lakini Mungu katuepusha balaa kubwa sana.
Tutakuwa taifa la wapumbavu tukiruhusu watu aina ya mwendazake kushika madaraka tena
... tulishachungulia shimo la thewa ilikuwa imebaki kudumbukia na kuzikwa wazima. Taifa lilitekwa mateka na mshenzi mmoja! CCM waendelee na ushabiki wao wa kiwendawazimu kama bado hawajajifunza hawatajifunza tena.Acheni Mungu aitwe Mungu jamani, bila Mungu kuingilia kati tulikuwa tumekwisha.
Ubarikiwe Mkuu.... tulishachungulia shimo la thewa ilikuwa imebaki kudumbukia na kuzikwa wazima. Taifa lilitekwa mateka na mshenzi mmoja! CCM waendelee na ushabiki wao wa kiwendawazimu kama bado hawajajifunza hawatajifunza tena.