nyampanaga
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,104
- 559
Umeongea kitu Cha Msingi mno...Wapinzani wajifunze kwakeMiongoni mwa Watu wachache ninao waamnini sana kwenye siasa za upinzani ni Mch.Msigwa.
Ndugai anainajisi Bunge letu!
Ashtakiwe.
Umeongea kitu Cha Msingi mno...Wapinzani wajifunze kwakeMiongoni mwa Watu wachache ninao waamnini sana kwenye siasa za upinzani ni Mch.Msigwa.
Ndugai anainajisi Bunge letu!
Ashtakiwe.
Msigwa anaeleza jinsi ofisi ya Speaker ilivyotumika kuwashawishi Wabunge wa Upinzani hujiunga na CCM.
Magufuli angekuwa hai hadi dakika hii nchi ingekuwa na hali mbaya mnoooooooKwakweli hatufanyi sherehe kwa kifo cha mwendazake lakini Mungu katuepusha balaa kubwa sana.
Tutakuwa taifa la wapumbavu tukiruhusu watu aina ya mwendazake kushika madaraka tena
Sema wewe ungekuwa na mbaya sana. Ingawaje hata sasa hivi naona unapatashida kweli kweli mpaka ufeMagufuli angekuwa hai hadi dakika hii nchi ingekuwa na hali mbaya mnooooooo
Msigwa anaeleza jinsi ofisi ya Speaker ilivyotumika kuwashawishi Wabunge wa Upinzani hujiunga na CCM.
Kama hadi sasa tunaendelea kuruhusu ccm kutuongoza na huko ndiko alipotoka Mwendazake basi bado sisi ni wapumbavu na tunazidisha kuonekana wapumbavu pale tunapofurahia kufa kwa Mwendazake kanakwamba matatizo yote ya msingi yamekoma baada ya kufa huyo mwendazake.Kwakweli hatufanyi sherehe kwa kifo cha mwendazake lakini Mungu katuepusha balaa kubwa sana.
Tutakuwa taifa la wapumbavu tukiruhusu watu aina ya mwendazake kushika madaraka tena
Na watz wote wapo tuuuuuu wanamwangalia anavyolibaka bunge halafu mitandaoni utasikia tunaandaa petition ya DiamondMiongoni mwa Watu wachache ninao waamnini sana kwenye siasa za upinzani ni Mch.Msigwa.
Ndugai anainajisi Bunge letu!
Ashtakiwe.
Katika awamu ya tano ya uongozi wa taifa hili, mihimili ya urais na bunge iliongozwa na watu wa ajabu sana kuwahi kupata kutokea toka nchi za Tanganyika na Zanzibar zilivyopata uhuru.
Msigwa anaeleza jinsi ofisi ya Speaker ilivyotumika kuwashawishi Wabunge wa Upinzani hujiunga na CCM.
Na wana kinga ya maisha, hawawezi kushtakiwa kwa upuuzi huu walioufanya.Katika awamu ya tano ya uongozi wa taifa hili, mihimili ya urais na bunge iliongozwa na watu wa ajabu sana kuwahi kupata kutokea toka nchi za Tanganyika na Zanzibar zilivyopata uhuru.
Msigwa au?maana la ndugai tunajua liko mirembeHuyu faili lake linakaribia kujaa
Ndiyo Ukweli WenyeweAu nasema uwongo ndugu zangu?
Ni kweli, Ila huyu huyu mchungaji alimuomba radhi KINANA kwa kumsingizia uongo kwa kutumia siasa hizo hizoMiongoni mwa Watu wachache ninao waamnini sana kwenye siasa za upinzani ni Mch.Msigwa.
Ndugai anainajisi Bunge letu!
Ashtakiwe.
Na 2020 alisema hivyo hivyoAlishasema hagombei tenaa!
Kwa nondo za Jana za msigwa I wish nikachumbie kale kabinti kake kamoja alichokuwa anapiga nacho kampeni
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Msigwa anaeleza jinsi ofisi ya Speaker ilivyotumika kuwashawishi Wabunge wa Upinzani hujiunga na CCM.