Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,811
- 4,533
“Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan hakukodi ndege ya Emirates wakati wa safari yake ya kwenda na kurudi Ufaransa na Ubelgiji.
Mhe. Rais alisafiri kwa kutumia ndege hizo kama abiria.
Ameokoa fedha nyingi ikilinganishwa na kama angetumia ndege binafsi ama angechukua ndege ya ATCL ama angekodi.
Pia soma:
- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi Ufaransa na Ubelgiji
Mhe. Rais alisafiri kwa kutumia ndege hizo kama abiria.
Ameokoa fedha nyingi ikilinganishwa na kama angetumia ndege binafsi ama angechukua ndege ya ATCL ama angekodi.
Pia soma:
- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi Ufaransa na Ubelgiji