DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
Msigwa: Mangula ni Chichidodo
ameyasema hayo akimlinganisha na ndege aliye tumika kwenye kitabu cha beutiful once are not yet born ambaye alikuwa anakataa kula kinyesi lakini anakula funza wanao kula kinyesi.
sawa sawa na mangula aliye chaguliwa na walarushwa lakini anasema atawatimua walarushwa ndani ya chama, ndani ya miezi 6 tu .
ameyasema hayo akimlinganisha na ndege aliye tumika kwenye kitabu cha beutiful once are not yet born ambaye alikuwa anakataa kula kinyesi lakini anakula funza wanao kula kinyesi.
sawa sawa na mangula aliye chaguliwa na walarushwa lakini anasema atawatimua walarushwa ndani ya chama, ndani ya miezi 6 tu .