LAZIMA NISEME
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 232
- 260
Mbunge wa Iringa Mjini na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Mch. Peter Msigwa amekamatwa na polisi jimboni Iringa mjini alipokuwa katika mkutano wa hadhara jioni hii.... Sababu za kukamatwa kwake bado hazijajulikana
Tutaendelea kuwaletea kinachoendelea....
=========
========
Vita ya Uchumi ni hii bofya
Listen to Matokeo chanyA+ on TuneIn
=======
"Mchungaji Msigwa amekamatwa na polisi katika mkutano wa hadhara bado anahojiwa, viongozi wamezuiwa kumuona"- Dady Igogo Naibu, Meya Iringa
AACHIWA KWA DHAMANA:
MSIGWA ameachiwa huru kwa dhamana na amedhaminiwa na wadhamini wawili Alex Kimbe pamoja na Leonce Marto , muda huu saa 4:25 usiku .
Ifahamike kwamba Msigwa ameshushwa jukwaani kwa nguvu akiwa anahutubia mkutano wa hadhara katika kata ya Mlandege Manispaa ya Iringa na anatuhumiwa kwa kosa la uchochezi dhidi ya vyombo vya usalama .
Aidha mikutano ya yake imefungiwa na hapaswi kuendelea na ziara yake katika kata nyingine mpaka hapo OCD atakapo amua vinginevyo.
Kesho asubuhi jumatatu Mbunge anatakiwa kuripoti kwa RCO na huenda kesi ya uchochezi ambayo tayari imeshafunguliwa jalada lake ikapelekwa mahakamani .
Hata hivyo Mbunge atazungumza na vyombo vya habari kesho mchana kuweka wazi madhila yaliyompata wakati akitekeleza wajibu wake kwa wananchi.
Tutaendelea kuwaletea kinachoendelea....
=========
========
Vita ya Uchumi ni hii bofya
Listen to Matokeo chanyA+ on TuneIn
=======
"Mchungaji Msigwa amekamatwa na polisi katika mkutano wa hadhara bado anahojiwa, viongozi wamezuiwa kumuona"- Dady Igogo Naibu, Meya Iringa
AACHIWA KWA DHAMANA:
MSIGWA ameachiwa huru kwa dhamana na amedhaminiwa na wadhamini wawili Alex Kimbe pamoja na Leonce Marto , muda huu saa 4:25 usiku .
Ifahamike kwamba Msigwa ameshushwa jukwaani kwa nguvu akiwa anahutubia mkutano wa hadhara katika kata ya Mlandege Manispaa ya Iringa na anatuhumiwa kwa kosa la uchochezi dhidi ya vyombo vya usalama .
Aidha mikutano ya yake imefungiwa na hapaswi kuendelea na ziara yake katika kata nyingine mpaka hapo OCD atakapo amua vinginevyo.
Kesho asubuhi jumatatu Mbunge anatakiwa kuripoti kwa RCO na huenda kesi ya uchochezi ambayo tayari imeshafunguliwa jalada lake ikapelekwa mahakamani .
Hata hivyo Mbunge atazungumza na vyombo vya habari kesho mchana kuweka wazi madhila yaliyompata wakati akitekeleza wajibu wake kwa wananchi.