"Msifurahie sana kuchaguliwa UDSM" jitafakarini pia

nobykah

Member
Feb 8, 2017
54
27
Kwanza nipende kuwapongeza wanafunzi wote mliochaguliwa UDSM, na pia niwape pole kwa changamoto za ugeni na 'jokes' kutoka wanafunzi wazoefu
Dhumuni la kuandaa uzi huu ni kuwataka mjitafakari na kuchukua maamuzi sahihi

Katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita, chuo kikuu cha Dar es salaam, kimekuwa kikidahili wanafunzi wachache (chini ya 10000), pia kwa kipindi hicho ,ufaulu wa wanafunzi umekuwa ukishuka,na kufikia kipindi ,wana standardise matokeo ili kupunguza idadi ya wanafunzi wanao-disco,.Lakini kwa mwaka huu chuo kimedahili idadi kubwa kufikia 12000,

Kwa mtazamo wangu , chuo kikuu kinataka kurejesha heshima yake kama ilivyokuwa zamani.wanatakak kupunguza standardization il kuwa na best graduate kwa miaka ijayo.
Ombi langu, kwa kipindi chote cha masomo yenu jitahidini kuwa na bidii ili msipitiwe na lungu la " kudisco" kwa maana hakutakuwa na ' kudekezwa tena.
Vikao vingi vilishakaa kujadiri swala hili kwa muda mrefu.ASANTENI

[HASHTAG]#Ningependa[/HASHTAG] kuomba radhi kwa uzinhuu kujipost kabra ya kukamilika. Asanteni
 
kama hujui kitu bora usiandike hao 1000 kwa udsm ni wachche hata hawajaz college hata moja

education walikua wanachukua mpaka watu 3000 college ya humanities rekebisha figure zako ndo uje kuleta porojo humu
 
S
kama hujui kitu bora usiandike hao 1000 kwa udsm ni wachche hata hawajaz college hata moja

education walikua wanachukua mpaka watu 3000 college ya humanities rekebisha figure zako ndo uje kuleta porojo humu
Sorry
Nimesha edit
 
conas hawana io kitu standardization labda kwngne pia hawana capacity ya kuaccomodate wanafnz weng esp 2nd yrs
 
conas hawana io kitu standardization labda kwngne pia hawana capacity ya kuaccomodate wanafnz weng esp 2nd yrs
#esp_2nd_yrs
Lakini kumbuka nazungumzia first year. Jaribu kuulizia IFM ujue yanayowakuta kwenye matokeo ya first year kuingia second year. Pia fuatilia idadi ya first year conas
 
#esp_2nd_yrs
Lakini kumbuka nazungumzia first year. Jaribu kuulizia IFM ujue yanayowakuta kwenye matokeo ya first year kuingia second year. Pia fuatilia idadi ya first year conas
Hivi umeelewa nilichokiandka?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom