Na Thadei Ole Mushi
#Ni masikitiko makubwa sana kuwa CHADEMA nayo inataka kupotea kwenye Ramani ya Siasa za Tanzania.
[HASHTAG]#Chadema[/HASHTAG] kwa sasa ipo kwenye wakati mgumu kuliko nyakati zote katika historia yake.
[HASHTAG]#Kila[/HASHTAG] kukicha afadhali ya jana leo kaondoka tena mwenezi wa wilaya ya Hai yaani kila siku ni watu wanaondoka tu.
[HASHTAG]#Sitaki[/HASHTAG] kuzungumzia sababu za wao kutaka kufa ziwe ni za ndan ya chama au njee ya chama ila kama taifa lazma tukisaidie kisipotee kabisa.
[HASHTAG]#Kila[/HASHTAG] baada ya Muongo mmoja lazma cha kimoja kikubwa cha upinzani kife. Zilipita enzi za NCCR zikaja enzi za CUF sasa ni wakati ambao CHADEMA ilikuwa ikimeremeta lakini nacho kinakumbwa na ugonjwa ule ule waliougua wenzake.
[HASHTAG]#Kuna[/HASHTAG] wanaofurahia kufa kwa vyama hivi ila mimi nitakuwa tofauti kidogo na wao. Kufa kwa vyama hivi ni hasara kwetu sisi wananchi.
[HASHTAG]#Niliwahi[/HASHTAG] kusema kuwa hata kipindi cha Nyerere viongozi wetu walikuwa wanatumia mali za umma vibaya. Ila kulikuwa hakuna fursa ya kujua hayo.
[HASHTAG]#Uwepo[/HASHTAG] wa vyama vya upinzani ni kuwanyima viongozi wanaotuongoza kutokufanya makosa, tusifurahie kufa kwake bali tuvijenge viwe taasisi Imara.
#Ni Kweli kuwa Mh. Rais Magufuli kwa sasa anafanya mengi makuu na kujali kodi za wananchi ila tukumbuke kuwa muda wake ukiisha tunaweza kumpata mtu mbovu kabisa. Bila vyama hivi vya upinzani tutarudi kule kule kwenye makashfa makubwa.
[HASHTAG]#Itakuwa[/HASHTAG] ni kujidanganya kabisa kama bado utaamini kuwa CHADEMA ya sasa itaweza kudumu kwenye siasa kwa miaka mingine 2 ijayo. Yaani kufikia 2020 CHADEMA itakwa hoi bin taabani kama hali ya mambo itaendelea kiwa hii ninayoiona.
Ole Mushi.
#Ni masikitiko makubwa sana kuwa CHADEMA nayo inataka kupotea kwenye Ramani ya Siasa za Tanzania.
[HASHTAG]#Chadema[/HASHTAG] kwa sasa ipo kwenye wakati mgumu kuliko nyakati zote katika historia yake.
[HASHTAG]#Kila[/HASHTAG] kukicha afadhali ya jana leo kaondoka tena mwenezi wa wilaya ya Hai yaani kila siku ni watu wanaondoka tu.
[HASHTAG]#Sitaki[/HASHTAG] kuzungumzia sababu za wao kutaka kufa ziwe ni za ndan ya chama au njee ya chama ila kama taifa lazma tukisaidie kisipotee kabisa.
[HASHTAG]#Kila[/HASHTAG] baada ya Muongo mmoja lazma cha kimoja kikubwa cha upinzani kife. Zilipita enzi za NCCR zikaja enzi za CUF sasa ni wakati ambao CHADEMA ilikuwa ikimeremeta lakini nacho kinakumbwa na ugonjwa ule ule waliougua wenzake.
[HASHTAG]#Kuna[/HASHTAG] wanaofurahia kufa kwa vyama hivi ila mimi nitakuwa tofauti kidogo na wao. Kufa kwa vyama hivi ni hasara kwetu sisi wananchi.
[HASHTAG]#Niliwahi[/HASHTAG] kusema kuwa hata kipindi cha Nyerere viongozi wetu walikuwa wanatumia mali za umma vibaya. Ila kulikuwa hakuna fursa ya kujua hayo.
[HASHTAG]#Uwepo[/HASHTAG] wa vyama vya upinzani ni kuwanyima viongozi wanaotuongoza kutokufanya makosa, tusifurahie kufa kwake bali tuvijenge viwe taasisi Imara.
#Ni Kweli kuwa Mh. Rais Magufuli kwa sasa anafanya mengi makuu na kujali kodi za wananchi ila tukumbuke kuwa muda wake ukiisha tunaweza kumpata mtu mbovu kabisa. Bila vyama hivi vya upinzani tutarudi kule kule kwenye makashfa makubwa.
[HASHTAG]#Itakuwa[/HASHTAG] ni kujidanganya kabisa kama bado utaamini kuwa CHADEMA ya sasa itaweza kudumu kwenye siasa kwa miaka mingine 2 ijayo. Yaani kufikia 2020 CHADEMA itakwa hoi bin taabani kama hali ya mambo itaendelea kiwa hii ninayoiona.
Ole Mushi.