Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Ndugu yangu mpendwa
maneno hayo yesu akiwapa wanafunzi wake..yawezekana umekuwa na mfadhaiko
wa kila aina ,,umekuwa na shida mbali mbali magonjwa,ajira,biashra zako aziendi
sawa...umewaza mpka kumkosea mungu na kusema je mungu anioni ama lah
ndugu mpendwa yesu anakupenda sana sana ,umeomba sana sana yesu amesikia sauti
yako asbhya leo napenda nikuhakikishie kama unamwamini mungu unamwamini na yesu
akuna kinachoshindikana kamwe..ulie nae ni zaidi ya matatizo ulikuwa nayo
yer 31:16 inasema
bwana mungu asema hivi zuia sauti yako usilie na macho yako yasitoke machozi maana kazi yako
itapata thawabu nao watakuja tena toka nchi ya adui
yoh 16:20
amin amin nawaambia ninyi mtalia na kuomboleza bali ulimwengu utafurahi ,ninyi mtahuzunishwa lakini huzuni yanu itageuka kuwa furaha...yamkini umekuwa ukihuzunika na ndoa yako ..umekuwa ukipata kazi ukai muda unafukuzwa ama unaacha..umetafuta watoto kwa muda mrefu umekataa tamaa ninao ujumbe wa leo yesu anakwenda kumaliza tabu
uliokuwa nayo ...mungu ni mungu wa awote wenye nguvu....endelea kumtumaini kuishi katika mapenzi yake ndugu mwenzangu natumaini wikii hii itakuwa wiki ya ushuhuda kwako...kama umetafuta ajira yesu ni mwajiri atakupa kazi amini ukapate..mungu awabari na kuwalinda katika kuanza kwa wiki hii
mbarikiwe katika jina la yesu
maneno hayo yesu akiwapa wanafunzi wake..yawezekana umekuwa na mfadhaiko
wa kila aina ,,umekuwa na shida mbali mbali magonjwa,ajira,biashra zako aziendi
sawa...umewaza mpka kumkosea mungu na kusema je mungu anioni ama lah
ndugu mpendwa yesu anakupenda sana sana ,umeomba sana sana yesu amesikia sauti
yako asbhya leo napenda nikuhakikishie kama unamwamini mungu unamwamini na yesu
akuna kinachoshindikana kamwe..ulie nae ni zaidi ya matatizo ulikuwa nayo
yer 31:16 inasema
bwana mungu asema hivi zuia sauti yako usilie na macho yako yasitoke machozi maana kazi yako
itapata thawabu nao watakuja tena toka nchi ya adui
yoh 16:20
amin amin nawaambia ninyi mtalia na kuomboleza bali ulimwengu utafurahi ,ninyi mtahuzunishwa lakini huzuni yanu itageuka kuwa furaha...yamkini umekuwa ukihuzunika na ndoa yako ..umekuwa ukipata kazi ukai muda unafukuzwa ama unaacha..umetafuta watoto kwa muda mrefu umekataa tamaa ninao ujumbe wa leo yesu anakwenda kumaliza tabu
uliokuwa nayo ...mungu ni mungu wa awote wenye nguvu....endelea kumtumaini kuishi katika mapenzi yake ndugu mwenzangu natumaini wikii hii itakuwa wiki ya ushuhuda kwako...kama umetafuta ajira yesu ni mwajiri atakupa kazi amini ukapate..mungu awabari na kuwalinda katika kuanza kwa wiki hii
mbarikiwe katika jina la yesu