Aunty kisa hicho kilinipa Presha....
Mkuu naomba nikusahihishe kidogo,hilo haliwezi kumtokea mtu yeyote,linawatokea wazinzi tu
Mwanamke mpumbavu ni yule anayeweza kumuacha mumewe na beki tatu ndani.Khaaaaaa yaani nyinyi wanaume sijuwi vipi tu jamani,unashindwaje kujizuia jamani kwa muda huo mchache,eti anakuvutia,,kwani mwanamke akikuvutia ni lazima ufanyenaye,,,utafanya na wangapi sasa? Ni vipi mkeo naye angekuwa anagegedwa na wanaume wanaomvutia.Khaaaa umenichefuaaaa ile mbaya.Toooh.
Please! Naombeni ushauri wa kujenga na siyo kuzidi kubomoa na kunichanganya zaidi
Mwanamke mpumbavu ni yule anayeweza kumuacha mumewe na beki tatu ndani.[kwa hiyo tuwe tunasafiri nao popote tunapoenda,au tunawarudisha makwao tukirudi kutoka safari tunawafuata tena,?wakati tunaacha watoto wadogo nyumbani! mkuu sijakuelewa.
Mkuu ungemuuliza kama yupo tayari kuwa na nyumba ndogo,Mkuu usihuzunike sana wewe sio wa mwanzo na hautokuwa wa mwisho hujafa hujaumbika, narudia ushauri wa wengi, waite watu wako wa karibu kama dada, ma mdogo jirani wa karibu, mueleze kwa kina ulichofanya na unachodhani kisha mtafutie house girl makazi mapya ya mbali, muwekee mahitaji muhimu kabla ya kuhamia yaani siku ya kuhamia akute chumba kipo vizuri, nunua vyakula vyote muhimu, jiko la kupigia, vyombo vya kupikia ikiwezekana hata katv kadogo. Utakuwa umemaliza tatizo
Mawazo haya yanatosha mtu kwenda kuungama kwa padri.Nakwambia kwa siri mtu asisikie utafungwa. Nunua sumu kali kbsa umuwekee afe na uingie gharama ya kuzika. Kinyume na hapo unalo. Hg wanakuwa watamu na uaitudanganye ulipizz nje. Kinyume na hapo ni pm nikupe ushauri wa ki biblia kuhusiana na wajakazi. Acha woga amua moja kutunza au kuua.