- Thread starter
- #41
Mkuu umekosea
Binafsi napenda sana club, ila sijswahi jua ladha ya pombe, na wala sijawahi vaa utupu
Pili, marafiki zangu wengi ni males, na sijawahi tembea na Rafiki yangu Wa karb Wa kiume
ukienda club hua unakunywa nn mkuu
Hua unavaa magauni/dela/vitenge na kilemba kichwani?