kishanshuda
Member
- Feb 25, 2011
- 73
- 11
Nimemzidi kisomo mtu ambae ananipenda na kunijali sana na namuona ananifaa kuwa mwenza wangu maishani, mimi nakaribia pata mastesr wakati mwenzangu hata certificate hana. Ila ni mtu ambae tunajuana vizuri na ni kwa muda mrefu sasa, though hatujakuwa karibu kimapenz kwa muda pia.
Jambo hili la ndoa na yeye lilijitokeza kama wiki liyopita hivi tulipo onana ana kwa ana na kuongea mengi likiwemo hili la ndoa, na tulipofikia kuhusu elimu ye akasema anataka aanze soma serious sasa coz umri umeenda na anashindwa fanya mambo mengi ya maendeleo kutokana elimu hiyo.
Na katika maongezi na majadiliano nae tumefikia uamuzi wa yeye aanze degree ambayo itamchukua miaka mitatu hadi amalize na ndipo tuweze oana na hata aweze endelea na elimu yake pia zaidi.
Ila napata utata kidogo katika mambo yafuatayo, kwanza naona miaka mitatu ya kusubiri ni mingi , pia napata wasiwasi kuwa anaweza pata mwingine na kubadili mawazo wakati me nimekaa muda wote namsubiri yeye, sasa hapa nachanganyikiwa na hata sielewi.
Naombeni ushauri wenu wadau walau nijue nifanyaje katika hili
Jambo hili la ndoa na yeye lilijitokeza kama wiki liyopita hivi tulipo onana ana kwa ana na kuongea mengi likiwemo hili la ndoa, na tulipofikia kuhusu elimu ye akasema anataka aanze soma serious sasa coz umri umeenda na anashindwa fanya mambo mengi ya maendeleo kutokana elimu hiyo.
Na katika maongezi na majadiliano nae tumefikia uamuzi wa yeye aanze degree ambayo itamchukua miaka mitatu hadi amalize na ndipo tuweze oana na hata aweze endelea na elimu yake pia zaidi.
Ila napata utata kidogo katika mambo yafuatayo, kwanza naona miaka mitatu ya kusubiri ni mingi , pia napata wasiwasi kuwa anaweza pata mwingine na kubadili mawazo wakati me nimekaa muda wote namsubiri yeye, sasa hapa nachanganyikiwa na hata sielewi.
Naombeni ushauri wenu wadau walau nijue nifanyaje katika hili