Msichana kumzidi kisomo mtarajiwa wake

kishanshuda

Member
Feb 25, 2011
73
11
Nimemzidi kisomo mtu ambae ananipenda na kunijali sana na namuona ananifaa kuwa mwenza wangu maishani, mimi nakaribia pata mastesr wakati mwenzangu hata certificate hana. Ila ni mtu ambae tunajuana vizuri na ni kwa muda mrefu sasa, though hatujakuwa karibu kimapenz kwa muda pia.

Jambo hili la ndoa na yeye lilijitokeza kama wiki liyopita hivi tulipo onana ana kwa ana na kuongea mengi likiwemo hili la ndoa, na tulipofikia kuhusu elimu ye akasema anataka aanze soma serious sasa coz umri umeenda na anashindwa fanya mambo mengi ya maendeleo kutokana elimu hiyo.

Na katika maongezi na majadiliano nae tumefikia uamuzi wa yeye aanze degree ambayo itamchukua miaka mitatu hadi amalize na ndipo tuweze oana na hata aweze endelea na elimu yake pia zaidi.

Ila napata utata kidogo katika mambo yafuatayo, kwanza naona miaka mitatu ya kusubiri ni mingi , pia napata wasiwasi kuwa anaweza pata mwingine na kubadili mawazo wakati me nimekaa muda wote namsubiri yeye, sasa hapa nachanganyikiwa na hata sielewi.

Naombeni ushauri wenu wadau walau nijue nifanyaje katika hili
 
hana hata certificate then anataka kusoma dgree? au mimi cjaelewa hapa certificate gani unazungumzia?
 
kama mmeridhiana, oaneni kwanza na shule ataenda tu
na kwa kuwa hana hata certificate, inamlazimu aanza na F4 kwanza so bado ana safari ndefu
 
Elimu na ndoa ni vitu viwili tofauti hicho naomba uelewe, elimu doesn't guarantee you that utakuwa na ndoa au familia iliyo bora so kama mmeamua kuoana just go ahead msianze kuweka vikwazo sijui hadi asome awe na degree au masters, afterall anaweza kuendelea kusoma baada ya nyie kuoana
 
nimemzidi kisomo mtu ambae ananipenda na kunijali sana na namuona ananifaa kuwa mwenza wangu maishani,mimi nakaribia pata mastesr wakati mwenzangu hata certificate hana. Ila ni mtu ambae tunajuana vizuri na ni kwa muda mrefu sasa, though hatujakuwa karibu kimapenz kwa muda pia.

Jambo hili la ndoa na yeye lilijitokeza kama wiki liyopita hivi tulipo onana ana kwa ana na kuongea mengi likiwemo hili la ndoa, na tulipofikia kuhusu elimu ye akasema anataka aanze soma serious sasa coz umri umeenda na anashindwa fanya mambo mengi ya maendeleo kutokana elimu hiyo.

Na katika maongezi na majadiliano nae tumefikia uamuzi wa yeye aanze degree ambayo itamchukua miaka mitatu hadi amalize na ndipo tuweze oana na hata aweze endelea na elimu yake pia zaidi.

Ila napata utata kidogo katika mambo yafuatayo, kwanza naona miaka mitatu ya kusubiri ni mingi , pia napata wasiwasi kuwa anaweza pata mwingine na kubadili mawazo wakati me nimekaa muda wote namsubiri yeye, sasa hapa nachanganyikiwa na hata sielewi.

Naombeni ushauri wenu wadau walau nijue nifanyaje katika hili

elimu itolewayo na mwanadamu wala haina maana ni ubabaishaji tu tafuteni ya Muumba tu............................John 6:45 & Isaiah 54:13
 
anaweza kujiendeleza mkiwa kwenye ndoa

kwani yamekuwa mashindano?
Nina jamaa yangu wa karibu mkewe ana PHD hapahapa A-Town......................naye yeye alikuwa kidato cha nne ..........na sifuri tu.........siku hizi anahangzika kupata BBA anasema safari imeanza.........kaacha shughuli zake za maana anahangaika na mambo ambayo wala Muumba hakumwandikia..............................matokeo yake anafeli kazi kununua mitihani ili apate cheti cha kututambia mtaani..........
 
Kwani elimu ina uhusiano gani na mapenzi?Au alikuambia kua na elimu ndo kua ma maisha bora ni nani?Ikiwa unampenda from the heart naye anakupenda,piga nae pingu.Wasi wasi tena wa nini endapo yeye atakuwa masomon kwa miaka mitatu?Je nawe ulipata mtu pia?Na kwanini kama ulipata usiwe mkweli kwa mwenzi wako!Anzeni harlati za NDOA!
 
Mtaanza kinafiki mkidhani mnapendana ila itafika point mtofautiane kiupeo. Elimu ina mata sana usijidanganye lazima mlingane au msitofautiane sana. Kingine kwa jamii zetu za kiafrika ambapo mume ni mbabe ni wazi itabidi uchague kuzika uwelewa wako au umwombe mungu mumeo awe mwelewa sana.
 
kwani yamekuwa mashindano?
Nina jamaa yangu wa karibu mkewe ana PHD hapahapa A-Town......................naye yeye alikuwa kidato cha nne ..........na sifuri tu.........siku hizi anahangzika kupata BBA anasema safari imeanza.........kaacha shughuli zake za maana anahangaika na mambo ambayo wala Muumba hakumwandikia..............................matokeo yake anafeli kazi kununua mitihani ili apate cheti cha kututambia mtaani..........
Hahaha!!! Ruta imenibidi nicheke tu
 
Mtaanza kinafiki mkidhani mnapendana ila itafika point mtofautiane kiupeo. Elimu ina mata sana usijidanganye lazima mlingane au msitofautiane sana. Kingine kwa jamii zetu za kiafrika ambapo mume ni mbabe ni wazi itabidi uchague kuzika uwelewa wako au umwombe mungu mumeo awe mwelewa sana.
nashukuru kwa kuweza nielewa elimu ina'matter jaman hasa kwa maisha haya ya sasa hivi ahhh,
, me naweza kubali na tukafanya kila kitu hata tukawa mke na mume, ila yaweza kuwa me nikafanya jambo jema tu kwa mema ila sababu ya hiyo elimu ikawa utata coz it happens na watu yanawakuta hayo, hata ukiamua uamuzi mzuri tu na kwa mema tu itaonekana tu unajidai au unafanya kwa sababu ya elimu yako
 
Hahaha!!! Ruta imenibidi nicheke tu

yaani weye wcha tu.......................watu wanahangaika bila ya kumwuliza Muumba hivi aliwapangia nini?

kila mmoja ana vipaji vyake na huu mfumo wa shule wa kulazimisha wote tufanane bila ya kuujua huu ukweli ndiyo mwanzo wa kuua vipaji au kushindwa kuvitambua...........
 
nashukuru kwa kuweza nielewa elimu ina'matter jaman hasa kwa maisha haya ya sasa hivi ahhh,
, me naweza kubali na tukafanya kila kitu hata tukawa mke na mume, ila yaweza kuwa me nikafanya jambo jema tu kwa mema ila sababu ya hiyo elimu ikawa utata coz it happens na watu yanawakuta hayo, hata ukiamua uamuzi mzuri tu na kwa mema tu itaonekana tu unajidai au unafanya kwa sababu ya elimu yako
Kwanini unausemea moyo wa mwenzio au haujiamini au umeishaona yeye hajiamini??
 
Ila napata utata kidogo katika mambo yafuatayo, kwanza naona miaka mitatu ya kusubiri ni mingi , pia napata wasiwasi kuwa anaweza pata mwingine na kubadili mawazo wakati me nimekaa muda wote namsubiri yeye, sasa hapa nachanganyikiwa na hata sielewi.

unachanganyikiwa nini..........if he is worthy the wait why not surrender your youthfulness for just that.........................otherwise begin craning your neck and be vigilant...................there could be a neighbour dying for your "endless love" whom you have not noticed so far because of wasting it all on that loser...............

hakuna uhusiano wa masomo na shule.....................kama yuko tayari na we pia mtindo mmoja basi fungeni kufuli la milele kwanza halafu shule itajijua mbele ya safari mkiwa wote.........kama hawezi ujue huyo ni balaa kwako.............kwani he was not made for you....... keep on looking until Mr. Right shows up with his genial grin.............
 
Kwanini unausemea moyo wa mwenzio au haujiamini au umeishaona yeye hajiamini??

ni tahadhari tu mapema , coz these sheet happens jaman, tuende practically, na c theoretically, siusemei moyo ila najaribu cheki na hali halisi iliyopo
 
Elimu na ndoa ni vitu viwili tofauti hicho naomba uelewe, elimu doesn't guarantee you that utakuwa na ndoa au familia iliyo bora so kama mmeamua kuoana just go ahead msianze kuweka vikwazo sijui hadi asome awe na degree au masters, afterall anaweza kuendelea kusoma baada ya nyie kuoana

Mkuu umeongea vyema sana
Sijui anachompendea huyo dada ni elimu yake au anampenda yeye kama yeye without hayo macertificate atakayoenda kutafuta
Eklimu haina mwisho na kama ni mkeo unayependa hata mkishaoana na hicho kisomo alicho nacho ni wajibu wako kumuendeleza na afikie malengo yake
Sidhani kama kuna haja ya wewe kusubiri mpaka apate degree maana wapo waliolewa wengi na wanasoma wakiwa na familia zao
So wewe jipangeni na mpendwa wako muendelee na mipango ya ndoa na then baada ya hapo anaweza kuendelea na kusoma
 
Mkuu umeongea vyema sana
Sijui anachompendea huyo dada ni elimu yake au anampenda yeye kama yeye without hayo macertificate atakayoenda kutafuta
Eklimu haina mwisho na kama ni mkeo unayependa hata mkishaoana na hicho kisomo alicho nacho ni wajibu wako kumuendeleza na afikie malengo yake
Sidhani kama kuna haja ya wewe kusubiri mpaka apate degree maana wapo waliolewa wengi na wanasoma wakiwa na familia zao
So wewe jipangeni na mpendwa wako muendelee na mipango ya ndoa na then baada ya hapo anaweza kuendelea na kusoma
Thread Closed lol
 
nimemzidi kisomo mtu ambae ananipenda na kunijali sana na namuona ananifaa kuwa mwenza wangu maishani,mimi nakaribia pata mastesr wakati mwenzangu hata certificate hana. Ila ni mtu ambae tunajuana vizuri na ni kwa muda mrefu sasa, though hatujakuwa karibu kimapenz kwa muda pia. Jambo hili la ndoa na yeye lilijitokeza kama wiki liyopita hivi tulipo onana ana kwa ana na kuongea mengi likiwemo hili la ndoa, na tulipofikia kuhusu elimu ye akasema anataka aanze soma serious sasa coz umri umeenda na anashindwa fanya mambo mengi ya maendeleo kutokana elimu hiyo. Na katika maongezi na majadiliano nae tumefikia uamuzi wa yeye aanze degree ambayo itamchukua miaka mitatu hadi amalize na ndipo tuweze oana na hata aweze endelea na elimu yake pia zaidi.
Ila napata utata kidogo katika mambo yafuatayo, kwanza naona miaka mitatu ya kusubiri ni mingi , pia napata wasiwasi kuwa anaweza pata mwingine na kubadili mawazo wakati me nimekaa muda wote namsubiri yeye, sasa hapa nachanganyikiwa na hata sielewi.

Naombeni ushauri wenu wadau walau nijue nifanyaje katika hili

Tuliza munkali mimi mke wangu ana degree(ana mpango wa masters) lakn mie nimeishia darasa la nne_heshima mbele na mambo mengine yanakwenda kama yalivyopangwa...labda uniambie huyo mpenzi wako hajiamin na hajitambui kwa nafasi yake hapo ndio itakua chimbuko la matatizo....lakn suala la elimu sio issue ki hivyo
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom