jussine
Member
- Jul 18, 2016
- 36
- 16
Siku moja pitapita zangu kitaa cha Dodoma town niliitwa chemba na binti mmoja ambaye alijitambulisha anasoma CBE.
Alifunguka kuwa ananipenda sana na alikuwa akinitafuta mda mrefu sana. Dahhh nilishindwa chakumwambia akachukua namba zangu so kila time ananisumbua.
Nimjibu vipi jamani?
Alifunguka kuwa ananipenda sana na alikuwa akinitafuta mda mrefu sana. Dahhh nilishindwa chakumwambia akachukua namba zangu so kila time ananisumbua.
Nimjibu vipi jamani?