Msichana hakuamini alichokiona ndan ya gari:yani kama movie

Kwenye uhusiano wa Girlfriend na BOYFRIEND, uchumba WA MUDA MREFU NA HATA ndoa TNADANGANYANA SANA TUUUU!!! TUPO WENGI TUNA SHARE HIZI MBUNYE BASI NI MUNGU ANATUEPUSHA NA MAGONJWA
 
All stories comes from the minds of people. Deeds comes from the minds also. The mind itself is what a person is capable of doing provided there is a reason and capability of doing it. Usishangae you could be related to some one with evil mind on you,ila basi anakosa nafasi na pengine huyo anaogopa jicho la tatu kutekeleza. So my dear learn from the stories of others and stop ignoring, it might help you one day!
i love it mana watu wanapenda sana ku ignore story za wenzao.
 
Ni ucku mtulivu nimekaa kitandan mie na jamaa yangu fulan tunapga stori huku mimi nasubiri muda wa kitu cha sa 4 flan ili nijimwage na mambo yetu ya kuzungumza at cheap rate kwa tgo.

Namwambia mshkaj kuwa nawait muda nizungumze na mpenz wangu ninaempenda na kumuamini sana.Jamaa akanichekii kisha akasema "ni vyema ukamuamini mpenz wako ila syo kwa % zote." nlipomuuliza kwa nin? Akanipa mkasa uliomtokea yeye mwenyewe yapata miez mi3 ilopta. Nanukuu

"nina mpenz wangu nimekuwa nae kwenye uhusiano kwa miaka 7 na mpaka home kwe2 anajulikana kwa mama na ndugu zangu wa karibu. Tatzo ni kuwa amekuwa akinicheat kwa miaka mi3 bila mimi kujua,muda ulipozd kwenda nkaanza kuambiwa na watu kuwa mpenz wangu ananisalit.

Nlipomuuliza dem wangu akaruka futi 100 kuwa hafany ujinga huo.Nkakaa kimya kwa kuwa ckuwa na ushahd ila moyon nkajisemea "utanasa tu mtegoni".Nkaomba dua zangu fulan flan ucku na visimamo ili kumuomba Mungu anionyeshe ukweli.Aisee Mungu si kitwana kondo, jk au jairo.

Ukweli nkaja kuupata.Tukaendelea na uhusiano simu kwa sana na kungonoana kama kawa.Cku 1 akaniambia kuwa atamletea zawad mama mkwe(mama yangu mzazi) nyumban kwetu.

Ilipofka hyo cku kwel akaja amepakzwa kwnye gar aina ya NADIA.Mbele yeye na jamaa flan ambaye nilisoma nae primary na huwa tunawasiliana kupitia BBM na Facebuk.Siti ya nyuma kakaa dem flan ambaye simjui hapo nkahs jambo.... dem wangu akashuka garin wale alokuja nao hawakushuka.Nkataka kumpa hug akakataa kwa kisingizio kuwa ni mbele za watu.Akaenda kumpa mamayangu zile zawad alizomwahdi.Nkamuuliza kiutani "umepakizwa mbele!?Ndo jamaa anayeniibia vyangu au?"

noo beb huyu ni jiran yangu tu amenipa lift na yule aliekaa nyuma ndo demu wa jamaa" .Kengele ikagonga tena kichwan kuwa inawezekana vp jamaa amweke mpenz wake nyuma af we mwomba lift uwekwe mbele?

Nkaendelea kuhoj "kwa hyo yule demu garini ndo anaitwa P?(jina la mpenz wa jamaa mwenye gar na alintajia ktk mawasilano yetu kupitia fb).Demu wangu hakujibu kitu.Ila akaondoka na uso wa huzun.Nkashangaa ila nkapotezea.

akaingia kwny gar akasepa.Hee kumbe kweli mchz mwenye gari ndo ananilia vyangu na demu wangu kumbe kawivu kalimshka kuskia jina la P.akaenda kumhoj jamaa kuhusu huyo P.

Ucku jamaa akaanza kunirushia lawama kuwa kwa nin nampeperusha ndege wake?nkamuuliza jamaa kwan huyo dem ni nan yake na alimwambia anapeleka zile zawad wap?"yule ni mpenz wangu kwa miaka mi3 na alisema anakuja kumpa zawad ANTI yake"jamaa akanijbu.

Dah m2 mzima nkatetemeka kwa hasira na nkamweleza jamaa kuwa bas yule ni mpenz wangu na tuna miaka 7 ya uhusiano"jamaa hakuamin ila akaniomba tukutane kesho yake ili kuoneshana ushahdi wa mesej kwenye sim zetu.

Tulipokutana na baada ya kuoneshana ushahd tukapanga mi niingie kwny gari yake nizime simu yangu kisha nkakae sehem ya nyuma ya gar nipaache wazi pale kweny sit ya kati.nkafanya hvo kisha tukasogeza gar mpk nje ya nyumba anapoish "mpenz wetu".Jamaa kampigia cmu demu akaja garin kwa mabusu meengi.

Jamaa akaanza kuondoa gar huku alimuhoji "beb hv zile zawad ulimpelekea nan yako na yule jamaa aliyetaka kukuhag ni nan yako?".Aliyetaka kunihug ni mtoto wa anti yangu ambaye zawad nlipeleka kwa mama yake.Na cjaonana na nae kwa miaka miwili,sasa nafkir kutaka kunikumbatia ni furaha ya kuniona plz beb wangu usnifkrie vby"kumbuka mie npo nyuma naskia yote na demu hakuweza kuniona bcoz ilikuwa ucku na taa za ndan ya gar 2lizma.

Bas 2kaendelea kufka mbele jamaa akastop gar alaf akam2ma vocha "demu we2".

Demu alivotoka jamaa akaniambia nitoke nilipokuwa nije kulala siti ya kati.Demu akarud garin na ile vocha 2kaendelea kuzunguka na gar.Jamaa akamwambi demu"beb naomba urudie yote ulosema huku jamaa nyuma yetu akiskia" demu kugeuka akanikuta namtaza.

Alipga yowe kalii akijua 2nataka kumdhuru.Alidata akaruka nje ya gar akaumia uso...2kamfata na kumrudisha kwao...Unataka kujua kilichotokea?Kamodem kangu kameishiwa ela.

HAPPY NEW YEAR WANAJAMVI.

Hadithi njoo uongo njoo utamu kolea
 
Wote mna makosa, yaani mmoja miaka 3 mnafanya dhambi tuuuuuuuu ya uzinzi, kuoa no!!!!! mwingine miaka 7! jamani tuuuu muchi, sasa ebu muoe kihalali kuliko kuendekeza uzinzi, la sivyo movie inarudiwa hiyo
 
Bonge la story.....ni wasiwasi wasanii wa bongo movie wanaweza kuitumia!
 
Da! Safi sana madada wa sikuhizi hawana maana,
ila mi nkisikia visa hv hamu ya mapenzi ndo inazidi kupotea.
 
haya ndo mapenzi yanaitwa ya ki.com!! nakumbuka mzee mzima nurusa nitembee uchi miaka mitatu iliyopita, demu wangu alinambia anaenda kwa uncle kumbe yule uncle ni ankooooooooooooo!!! ilipokuja kubumbuluka nikatamani mbingu zifunguke nitangulie na ndo enzi hizo nilikuwa na A+ ya malavidavi...

hali kama hiyo ikanitokea tena mara ya pili na ya tatu kwa wapenzi waliofata, na si kwamba nilikuwa nawatendea mabaya rahasha, na nilijituma kwelikweli kwao hasa katika mambo yetu yaleeeeeee, wakati mwingine sikiwa nacheza mbali na google kujifunza yale maujanja ya mambo yetu lakini wapi...

baada ya experience kali sana hizo walizonipa nimekomaa barabara na kinamna nawasalute, saizi nina F+ ya malavidavi so siruhusu hawa viumbe wanitendee upuuzi, nkiona mawingu tu, navuta mwanvuli (napiga chini) hata kama mvua haijaanza kunyesha....

ila nijuacho tu wakishachoka wanarudigi hao kuja kutest zali, mi nilishawafungia vioo muda tu mpaka leo wananipigia kelele eti bado wana mafeeling na eti wanamsingizia shetani kasababisha....Mpe pole zake kama sio wewe na pia mwambie ndo ma experience hayo
 
dah miaka saba yote mtu hajatangaza ndoa? no wonder msichana aliamua kucheat, aniways ilikua such an interesting story
 
Back
Top Bottom