ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,554
Haya wabongo muige sasa.......
Mwana dada kawarahisishia sasa.......!!!
yaani hapo ni fasta tu unapelekwa milembe kwa matibabu ya ugonjwa wa akili..
Haya wabongo muige sasa.......
Mwana dada kawarahisishia sasa.......!!!
Haya wabongo muige sasa.......
Mwana dada kawarahisishia sasa.......!!!
Haya matiti yetu yanavyovutia jamani! Tukiyatembeza nje si mtagonganisha magari na mtakuwa hamfiki mnakoenda? Msitujaribu, hapa tu tunaonyesha cleavage mnadata! Tukionyesha chuchu itakuwa vurugu aisee!
Matiti gani hapo sasa? Hayana hata chuchu? Weeh nawe, bhange zimekuharibu macho!
we nawe Mnafki chini ya kitovu unapajua?MxMbona matiti yenyewe yako chini sana karibu na kitovuni!
Mvuto zero!
Haya matiti yetu yanavyovutia jamani! Tukiyatembeza nje si mtagonganisha magari na mtakuwa hamfiki mnakoenda? Msitujaribu, hapa tu tunaonyesha cleavage mnadata! Tukionyesha chuchu itakuwa vurugu aisee!
Wewe nawe unaweza kutembea hivyo?kumbe hata wathungu wanayatafunaga yale majani.