Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Pale mwanaume unapo mmendea msichana mwenye umri wa miaka 31 akakubali huku akiwa ana maisha yake anaishi geto na hapo kuna geti, siku nne badae akaanzisha kuwa ana shida na hela, ukamtumishia mpesa, siku nyingine kama juma pili hivi muda wa saa 9 mchana akakwambia nimeishiwa ukamuuliza umeishiwa nini akasema ameishiwa hela ya mboga (kumbuka hamjawahi kufanya mapenzi wala hujawahi muomba penzi) sasa mwanaume ukaamua kwenda sokoni ukanunua nyama na mazaga zaga kibao, ukifika getini unamuandikia sms unamuomba atoke nje mkutane ili umpe mzigo wake na hela ya matumizi ila hajui una mazagazaga ya surpise unasikia anakwambia “ HAPA NIKO NA MAMDOGO ANANIPA SEMINA BABA AMEMTUMA ANIULIZE KWANINI SINA KAZI, HUYU MAMDOGO NI MKALI SANA WALA HATAKI NITOKE NJE, NIRUSHIE TU IYO HELA KWENYE MPESA HALAFU MIMI KESHO NITAKUTAFUTA ILI TUONANE”
Kama mwanaume maamuzi yako yatakuwaje, utafanyaje hapa.
Kama mwanaume maamuzi yako yatakuwaje, utafanyaje hapa.