Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,107
- 18,323
Naomba mnisaidie
nina msichana ni rafiki yangu sana, haipiti siku hatuja wasiliana. Lakini hatuja wahi zungumzia ndoa wala any deep relationship. Lakini kinacho nishangaza kuna wakati nikimwuliza kitu aniambia anaona aibu kuniambia.
Siku moja nilimwuliza unasuka msuko gani wa nywele, akanimabia anaona aibu, hata akashindwa kuniambia, siku nyingine akanipa picha, nilipo mwambia nimeziona akasema anaona aibu,
hii kuona aibu inamaana gani hasa. Naombeni msaada
nina msichana ni rafiki yangu sana, haipiti siku hatuja wasiliana. Lakini hatuja wahi zungumzia ndoa wala any deep relationship. Lakini kinacho nishangaza kuna wakati nikimwuliza kitu aniambia anaona aibu kuniambia.
Siku moja nilimwuliza unasuka msuko gani wa nywele, akanimabia anaona aibu, hata akashindwa kuniambia, siku nyingine akanipa picha, nilipo mwambia nimeziona akasema anaona aibu,
hii kuona aibu inamaana gani hasa. Naombeni msaada