muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,511
- 3,477
mtoa mada anaona aibu kujibu hoja za wachangiaji!
Hii title ya thread ulitaka kuandika kitu gani? Najua umeikosea kwasababu unaona aibu.
Naomba mnisaidie
nina msichana ni rafiki yangu sana, haipiti siku hatuja wasiliana. Lakini hatuja wahi zungumzia ndoa wala any deep relationship. Lakini kinacho nishangaza kuna wakati nikimwuliza kitu aniambia anaona aibu kuniambia.
Siku moja nilimwuliza unasuka msuko gani wa nywele, akanimabia anaona aibu, hata akashindwa kuniambia, siku nyingine akanipa picha, nilipo mwambia nimeziona akasema anaona aibu,
hii kuona aibu inamaana gani hasa. Naombeni msaada
huelewi kuona aibu ni aje? Ama huelewi kwa nini anakuonea aibu?
Kwenye baoloji hamkufunzwa msichana akipevuka na matiti yake kuanza kusonta zipu za suruwali za wanamme huona aibu?
dada whiteKaka huyo labda ni Zezeta nitajie umri wake,na je hatoi udenda na kusema anaona aibu?
dada whiteKaka huyo labda ni Zezeta nitajie umri wake,na je hatoi udenda na kusema anaona aibu?
dah!! huyo atakuwa mtamu sana kumgegeda maana aibu hadi kuvua chupi umvue...fanya juu chini umgegede huyo mwana
dah!! huyo atakuwa mtamu sana kumgegeda maana aibu hadi kuvua chupi umvue...fanya juu chini umgegede huyo mwana
Duuuh maswali mengine aisee si ya kuandikia uzi!