mzee wa njaa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 1,366
- 223
Tuko hilo limetokea huko nchini Tanzania katika Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam. Msichana aliingia na jamaa jana usiku kwenye nyumba hiyo ya wageni kwa nia ya kuchukua chumba na kulala.
Baada ya kufika asubuhi mida ya saa 5 mhudumu wa Guest alipotaka kuingia kwenye chumba walicholala watu hao kwa nia ya kufanya usafi alikutana na tukio hilo la kusikitisha.
Kwani alikuta maiti ya mdada huyo ikiwa imelala huku ikitokwa na damu nyingi sehemu za siri hali iliyofanya apige kelele kuomba msaada kutoka kwa watu wa karibu na guest hiyo. Polisi walipofika na kuchunguza wakakuta kiungo muhimu kwenye uke wa mdada huyo kimekatwa na jamaa kaondoka nacho ( Ni Kisi....) Bracket neno kali naogopa kupewa Ban.
Yasemekana huyo mdada ni mfanyakazi wa Ubungo Bus Terminal. Inasikitisha sana.
Source: Rafiki yangu anayeishi maeneo ya Temeke Jijini Dar ndiye aliyenipa taarifa.
Baada ya kufika asubuhi mida ya saa 5 mhudumu wa Guest alipotaka kuingia kwenye chumba walicholala watu hao kwa nia ya kufanya usafi alikutana na tukio hilo la kusikitisha.
Kwani alikuta maiti ya mdada huyo ikiwa imelala huku ikitokwa na damu nyingi sehemu za siri hali iliyofanya apige kelele kuomba msaada kutoka kwa watu wa karibu na guest hiyo. Polisi walipofika na kuchunguza wakakuta kiungo muhimu kwenye uke wa mdada huyo kimekatwa na jamaa kaondoka nacho ( Ni Kisi....) Bracket neno kali naogopa kupewa Ban.
Yasemekana huyo mdada ni mfanyakazi wa Ubungo Bus Terminal. Inasikitisha sana.
Source: Rafiki yangu anayeishi maeneo ya Temeke Jijini Dar ndiye aliyenipa taarifa.
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.