Msibani

Rastad

Member
Oct 3, 2011
13
3
Kuna sehemu ulitokea msiba ambapo mama mmoja alikuwa analia sana kiasi cha kuonekana ameguswa sana na ule msiba,lakini baadae watu wakashangaa amekaa kimya halii.wakinamama wenzake wakamsogelea kisha wakamuuliza vipi mbona umekaa kimya, yule mama akasema nimeamua kuweka vibration.
 
Kuna sehemu ulitokea msiba ambapo mama mmoja alikuwa analia sana kiasi cha kuonekana ameguswa sana na ule msiba,lakini baadae watu wakashangaa amekaa kimya halii.wakinamama wenzake wakamsogelea kisha wakamuuliza vipi mbona umekaa kimya, yule mama akasema nimeamua kuweka vibration.
...............loh!
 
Back
Top Bottom