chriss makoba
Member
- Oct 5, 2012
- 50
- 10
Hongera mdada kwan binadam tumeumbiwa matatizo. n kutoa pesa na kujitolea mchango wowote n suala la busara sana haijal utak kuonekana au vip cha msing ni kutoa ulichonacho. Hongera mdada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya kutoa rambirambi na kujitangaza yametokea wapi, utu uko wapi jamani? TUSISIFIE UJINGA JAMANI KHAA
Mambo ya kutoa rambirambi na kujitangaza yametokea wapi, utu uko wapi jamani? TUSISIFIE UJINGA JAMANI KHAA
Hongera mdada kwan binadam tumeumbiwa matatizo. n kutoa pesa na kujitolea mchango wowote n suala la busara sana haijal utak kuonekana au vip cha msing ni kutoa ulichonacho. Hongera mdada.
Hongera WEMA. Hivi ni kwa nini hata kwa hili jema hamtoi pongezi? Tumeshazoea kusoma skendo za WEMA na ina maana tunapendelea kusikia Skendo tu!!!?? Akifanya jema tumpongeze pia!!
Ahaaaa THE BIG SHOW kumbe wewe ni muuza watu a.k.a dalali human traffic ni kosa la jinai mkuu ngoja ni ku PM:target:THE BIG SHOW;ni pm nikupatie
ila uniambie una sh ngapi??
Ahaaaa THE BIG SHOW kumbe wewe ni muuza watu a.k.a dalali human traffic ni kosa la jinai mkuu ngoja ni ku PM:target:
Mambo ya kutoa rambirambi na kujitangaza yametokea wapi, utu uko wapi jamani? TUSISIFIE UJINGA JAMANI KHAA
Hata walioandika Habari hii nayo ni aibu, napinga sana uwepo wa haya magazeti uchwara ya Udaku.
wivu tu umekujaa, limekuchoma eeh?
Akili ndogo kamwe haiwezi kuwa na fikra sawa na akili kubwa.Povu.
Wema yupo juu tu hata mfanyeje
wa kulaumiwa si Wema, japo namchukia.
Hapo wakulaumiwa ni huyo ndugu aliyekurupuka na kwenda kutoa siri za kwenye kitabu cha rambirambi kisha mwenyewe anajistukia kwa upuuzi alioufanya na kusema ati ye si msemaji wa Familia.
Sasa kama ye si msemaji kimempwita kinini mpaka aeleze hayo ya Wema kutoa jiwe mbili?
Shame...
Akili ndogo kamwe haiwezi kuwa na fikra sawa na akili kubwa.
huna hata haya...
We kila siku ukiona habari ya Wema lazima ukurupuke na kashfa.
Yatakushinda