GlorytoGod
Senior Member
- Sep 8, 2012
- 158
- 50
kwani mkulu yupo?? labda amekwenda swatzland kuangalia mabikra watakaoshindana mwakani ili kuolewa na king mswati!
Haujakosea hata neno moja kamanda Tanzania hakuna Rais kuna Rahisi, hamsini hamisini kwa mia. Na pia hataweza kutoa rambirambi kwa Mwangosi maana sio mshirika mwenzao a.k.a FREEMASON MWENZAO. C UNAMJUA KANUMBA TENA? NDICHO KILICHOMPA ILE HESHIMA.