kalikalanje
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 226
- 285
Sawa mlikuwa mnaomba afe na sasa amekufa na bado mtabaki pale pale mlipokuwa wiki tatu zilizopita na mtaishi milele kusubiri kutawala Tanzania mkauze rasilimali zetu kwa hao ma-gay wenu,,, Siku Lissu akiwa raisi wa Tanzania nitatembea UCHI toka Ferry hadi kariako in fact the twat will die without becoming even a minister,,,Kama ni Chadema na mlikuwa mnajua, kwa nini wasikamatwe wakafunguliwa kesi kwa jinsi wanavyopenda kufungulia kesi viongozi wa upinzani?
Magufuli alikuwa ndio muuaji, kaua watu wengi sana, watu wengi walisali sana huyu mtu afe ili nchi ipone na Mungu kajibu maombi yao