Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,908
- 30,253
- Thread starter
- #61
Bukoba...Yani Mzee unavoshupalia coincidence ya Uislam kuweko kwenye historia ya Tanganyika ni sawa na Urusi kujisifia kua wao ni walevi wazuri.
Sasa harakati zimefanyika mostly Pwani unategemea waislam wasiwemo?Hiyo ni kawaida sana.Waislam wao kila kuchwa ni kulia dhulma tu!..
Kwa mfano hizo harakati zingefanyikia Tukuyu halafu wanyakyusa waanze kujisifia.Coincidence tu!
Nitakuuliza swali kwa nini Tukuyu wakawa nyuma katika kudai
uhuru?