Msiba wa Daudi Mwamgosi: Kinachojili Itete, Tukuyu katika mazishi yake

Hawa nyamafu polisi ndo wawajibike! Dah, hadi utumbo nje? Hatuwezi kufarijiwa na kuwasomesha watoto au nini nini kwa familia. Dawa ni hawa nyamafu wanajiona ndo wamiliki wa Tanzania nao watolewe utumbo.
 
Wakiongea kwenye mazishi ya mwandishi wa habari aliyeuwawa na polisi.kwa nyakati tofauti Mbunge wa Rungwe Profesa MARK MWANDOSYA na Katibu mkuu wa Chadema Dk W.P.SLAA wameahidi kuwasomesha watoto wa marehemu Daud Mwangosi.

Akianza Prof Mark Mwandosya amesema anajitolea kumsomesha mtoto wa kwanza alie kidato cha nne mpaka chuo kikuu.

Naye katibu mkuu wa Chadema amesema kwa kuanzia wameshatoa kiasi cha fedha na vile vile wameahidi kumsomesha mtoto wa pili ambaye sasa yuko darasa la saba.

Source.Eborn Fm

ile picha ya Dr Slaa akimfariji yule mtoto wa marehemu imeniuma sana. wamefanya jambo la maana sana kuchukua jukumu la kuwasomesha hao watoto. ALLAH awazidishie na waliohusika wote wafikishwe mbele ya fatou bensouda ndio haki itatendeka.. RIP DAVID.
 
Akionekana Polisi mtieni humo kaburini atangulie na Mpendwa wetu. Madaktari walimkosakosa mmoja kipindi kile cha Ully
 
Tunaanza kuzalisha kizazi chenye chuki na visasi ndani ya nchi yetu na hii ni hatari sana!!!Hakuna mtu anayeweza kuvumilia baba yake kuuawa kinyama namna ile bila kosa lolote.
 
Asante kutuweka karibu na tukio, RIP David Mwangosi
 
ni kweli pr mwandosya kajitolea kusomesha familia?

R.I.P Mwangosi, Mkuu ahsante kwa kutuwezesha kujua yanayojiri!!
Mwadosya alikuwa anawalilisha serikali Je ahadi aliyeitoa ni yakwake mwenyewe au ni ya serikali ? hebu tujulisheni wazee
Jk kisha tuahidi ahadi kibao bado tunasubiri sijui mpaka lini?
 
Prof Mark Mwandosya
amesema anajitolea kumsomesha
mtoto wa kwanza alie kidato cha
nne mpaka chuo kikuu.
 
R.I.P Mwangosi, Mkuu ahsante kwa kutuwezesha kujua yanayojiri!!
Mwadosya alikuwa anawalilisha serikali Je ahadi aliyeitoa ni yakwake mwenyewe au ni ya serikali ? hebu tujulisheni wazee
Jk kisha tuahidi ahadi kibao bado tunasubiri sijui mpaka lini?

Mwandosya ndio Mbunge wa Jimbo ambalo Mwangosi amezaliwa. Ahadi ni kama mbunge
 
Wadau kwa nn tusianzishe movement ya kuwaadabisha hawa polisi. ukimkut a hata bar anakunywa unamwekea hata sumu ya panya afe.
 
Tunaanza kuzalisha kizazi chenye chuki na visasi ndani ya nchi yetu na hii ni hatari sana!!!Hakuna mtu anayeweza kuvumilia baba yake kuuawa kinyama namna ile bila kosa lolote.

Yaani inasikitisha sana naona kawekwa kwenye kifurushi maalumu sio sanduku nadhani ni kwa sababu mwili ulikuwa vipande vipande hii picha iatwaumiza watoto,mke ndugu jamaa kwa kipindi kirefu sana inauma kwa kweli
 
Back
Top Bottom