MSIBA:Peter Gachuma,Thomson Msigwa WAFARIKI DUNIA

excuse me Bubu ataka kusema!
kwa nini watz walioishi nje ya nchi wasiendeshe magari wakirudi Tz?nataka kujua tu naona ufahamu wangu ni mdogo sana

Kuna baadhi ambao wamejifunza kuendesha wakiwa kwenye nchi za magharibi ambazo sheria za barabara zinafuatwa sana ukilinganisha na Tanzania. Hivyo kama hujawahi kuendesha Tanzania ambako sheria za barabara hazifuatwi kabisa basi ni rahisi kupata ajali.

Pia nimeshawasikia Watanzania wengi wanaoishi nje ambao walikuwa wanaendesha Tanzania kabla ya kwenda nje kwamba wakiwa Tanzania wanaogopa sana kuendesha hata kama wakiachiwa gari na ndugu, jamaa au rafiki au hata kama wana magari yao bongo. Weekend njema.
 
Kuna baadhi ambao wamejifunza kuendesha wakiwa kwenye nchi za magharibi ambazo sheria za barabara zinafuatwa sana ukilinganisha na Tanzania. Hivyo kama hujawahi kuendesha Tanzania ambako sheria za barabara hazifuatwi kabisa basi ni rahisi kupata ajali.

Pia nimeshawasikia Watanzania wengi wanaoishi nje ambao walikuwa wanaendesha Tanzania kabla ya kwenda nje kwamba wakiwa Tanzania wanaogopa sana kuendesha hata kama wakiachiwa gari na ndugu, jamaa au rafiki au hata kama wana magari yao bongo. Weekend njema.

nimekupata sasa, mungu akutangulie zaidi + weekend njema pia
 
jamani tuache kureason kifo.. there is no way out.. you can't cheat it.. and you can't beat it.. huu ni msiba na kuassume kuwa ni kosa la madereva ni kubebesha lawama zisizonamsingi...
 
R.I.P
"There is a blessing on the dead who from now on come to their end in the Lord: yes, says the Spirit, that they may have rest from their troubles; for their works go with them."REV:14:13
 
jamani tuache kureason kifo.. there is no way out.. you can't cheat it.. and you can't beat it.. huu ni msiba na kuassume kuwa ni kosa la madereva ni kubebesha lawama zisizonamsingi...

Mungu awape Rehema za milele.

No Mkjj:
Tunarudi pale pale kwa kumlaumu Mungu kuwa na mapenzi ya kifo; mimi sikubaliani na hilo.
 
jamani tuache kureason kifo.. there is no way out.. you can't cheat it.. and you can't beat it.. huu ni msiba na kuassume kuwa ni kosa la madereva ni kubebesha lawama zisizonamsingi...

Mkjj, mimi naona kosa ni kuongelea hili swala la sababu katika wakati huu. Kila kitu kinawakati wake na pahala pake. Kwenye swala la misiba kawaida ni kuangalia la kufanya kuhusiana na waliopoteza maisha yao, kuwasaidia na kuwapa pole wanafamilia na marafiki.

Wanao ongelea sababu za udereva wanayo haki hiyo maana kila ajali ina sababu zake, lakini nadhani itakuwa jambo insensitive kutoa hoja kama hiyo hapa kwa sasa. Misiba yote ni sawa na mauti wote ni sawa. Lakini katika kuongelea tofauti inaletwa zaidi na ukubwa wa ajali, mazingira ya ajali na nafasi ya waliokumbwa na ajali katika jamii yetu.

Tulivyo ongelea ajali ya marehemu Mbatia ni tofauti sana na tulivyo ongelea ajali ya basi la Aboud n.k. Vivo hivyo, pamoja na kuwa binadamu wote tu sawa, lakini wakati wote kunatofauti jinsi watu watakavyotuongelea. Katika tukio hili, nami naona si vyema sana kuweka mbele sababu za ajali hiyo kwa sasa.

SteveD.
 
Watanzania mnaoishi nje mkienda Tanzania msiendeshe magari tafuteni madereva wa Tanzania.

Kuendesha Tanzania na kuendesha ukiwa nje ni vitu viwili tofauti kama usiku na mchana. Mungu awalaze mahali pema peponi~Amen.

....Bubu, Sounds brutal and insensitive, but it is the true reality.
 
May their families find a way to get comfort and wisdom at this time of hardship!
May God bless them all... RIP..
Amen
 
jamani tuache kureason kifo.. there is no way out.. you can't cheat it.. and you can't beat it.. huu ni msiba na kuassume kuwa ni kosa la madereva ni kubebesha lawama zisizonamsingi...

Mzee Mwanakijiji,

Sidhani kama kutoa maonyo kwa namna hii ni kuwalaumu madereva. na si kweli kwamba hatuwezi ku reason kifo. Huko ni kukimbia ukweli, na haisaidii kitu. Watu wengi wa nje hawakumbuki au hawajui kuwa TZ sheria za bara barani hazifuatwi kwa makini. Ukiwa highway, hutajua kama hapo kwenye kona kuna lori la mkaa limeegeshwa barabarani bila hata alama za tahadhari wala kitu chochote, na utakwenda na 120 km/h kujaa nyuma yake.

Unapopishana na mabasi Tanzania, uwe mwangalifu sana maana utadhani ni wao tu wana haki ya njia, na kwa mgeni, hili laweza kukusumbua sana.

Mtu akisema uwe mwangalifu katika hili, anajaribu kuokoa maisha yako in case hukujua. Kuna ubaya gani?

Akikueleza kuwa bara bara hii ina mshimo sana kwenye kona za msambiazi, usiendeshe wewe, mpe mwenyeji, kuna ubaya gani?

Ofcourse, vifo tunaweza ku reason, na hata kujaribu ku cheat. Ndo maana tunafunga mikanda ya kwenye viti, kwa sababu tunajua inasaidia kupunguza madhara ikitokea ajali. Tukisema sababu ya kifo cha fulani ni mwendo mkali kwenye eneo lenye kona, tutakuwa hatusemi ukweli? Tutakuwa tunajaribu ku reason kifo?
 
Habari hzi nilizipata jana usiku,Peter Gachuma ni mtoto wa Mwita Gachuma yule Mjumbe NEC wa Chama Cha Mapinduzi na mfanyabiashara maarufu wa mikoa ya Mwanza na Mara.

Ajali ilitokea karibia na eneo ya igoma mjini mwanza,katikati ya igoma na kisesa,kwa habari nilizopewa ni kwamba waligonga Gari aina ya Fuso ambayo ilikuwa imesimama,ni hivyo kupata ajali mbaya sana sababu walikuwa katika mwendo mkali sana

Kwa niaba ya wana CCM wote na Watanzania Wote wa Hapa JF naomba kutoa salaam Za rambirambi kwa Mhe. Gachuma,

Leo ilikuwa Mhe. Gachuma aende India kwenda kufungua Rasmi Tawi la CCM lizindukliwa wiki ilioyopita na Nape Mnauye.

At the same time, I have yet to see in Tanzania a road/highway where one can drive more than 80 kph. Read this:

Sitta: Current top speed for four-wheeler`s a joke,/b>

Dodoma
SPEAKER of the National Assembly Samuel Sitta has proposed a review of the traffic regulation restricting vehicles not to exceed the speed of 80 kilometres per hour.

He made the proposal in side remarks after a supplementary question by Grace Kiwelu (Special Seats, Chadema) who had sought to know what steps the government was taking against drivers of state leaders, including ministers, who exceed the speed limit set in the traffic regulations.

In the view of the Speaker, such speed limit was outdated and inapplicable now when the roads were better and faster vehicles were abundant, such as four-wheel drive cars.

``There are modern vehicles in today`s world, which require high speed. I think there is a need to review the speed limit in view of these developments,`` he said.
 
Mzee Mwanakijiji,
Akikueleza kuwa bara bara hii ina mshimo sana kwenye kona za msambiazi, usiendeshe wewe, mpe mwenyeji, kuna ubaya gani?

Na mwenyeji akipata ajali je, inakuwaje hapo?...Madereva wangapi tunasikia wanakufa Tanzania? Au nao wanakuwa wametoka nje?...Mwenyeji anapopata ajali na kufa ndio mta-substantiate ajali haikuweza kuzuilika? People Please!!!

Pumzikeni kwa Amani mliotutangulia. Poleni sawa Wafiwa.
 
Jamani Maskini Jirani Zangu Hao Huko Tarime Bomani Yaani,
Mungu Awafariji,awatie Nguvu Na Tumaini.
Bwana Yesu Awalaze Maalapema,wamepumzika Kwa Amani
 
....Bubu, Sounds brutal and insensitive, but it is the true reality.

Mniwie radhi wote kama nilichoandika kimeonyesha insensitive katika vifo hivi vya ghafla vilivyotokea. Mwenyezi Mungu awalaze mahali mema peponi~AMEN
 
kwanza tuwe pole sana wna jf kwa kuwapoteza hawa wanachama wetu majina yao ya hapa siwataji.

pili mungu awalaze pahala pema wanapostahiki huko kwako wewe baba.

tatu nnawataka ndugu na jamaa wa marehemu wawe na subira ktk kipindi hiki kigumu.

sisi tulimpenda ila baba amempenda zaidi
 
sasa haya ya kusema tunaotoka nje tukirudi tuwape wenyeji, mwisho si mtatuambia tusirudi kabisa halafu tupate ajali huko huo majuu!

Nashauri muangalie "Final Destination 2"...
 
mkjj tuufunge mjadala tutoe rambi rambi tuu

hayo mengine baada ya siku tatu tuwe waungwana wakuu
 
Back
Top Bottom