pole sanaHabari nilizozipata sasa hivi ni kuwa mmoja wa member wa JF amefiwa na Baba yake leo asubuhi.
Tumwombee apate kufarijika katika kipindi hiki kigumu.
R.I.P Baba Pearl...
Habari nilizozipata sasa hivi ni kuwa mmoja wa member wa JF amefiwa na Baba yake leo asubuhi.
Tumwombee apate kufarijika katika kipindi hiki kigumu.
R.I.P Baba Pearl...