Pearl, naishiwa na kauli.
Matatizo kama haya yanaumiza sana, na kufiwa ni jaribu la juu sana ktk maisha ya mwanadamu.
POLE SANA PEARL, NA Mungu wa MBINGUNI ndiye mfariji wa kweli.
Pole tena
Pole sana Pearl kwa msiba mkubwa uliowafika wa kuondokewa na Baba yenu. Namuomba Mwenyezi Mungu awape nguvu na faraja kipindi hiki kigumu kwenu na pia ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi~AMEN.
Pearl........Mungu akupeni faraja wewe na wote mlioathiriwa kwa kumpoteaza Baba yenu, Yeye ampenda zaidi hata akaona yafaaa amtwae sasa; Rehema za Baba wa mbinguni ziwe pamoja nanyi wakati huu mgumu! Amina
Mpe pole mdau! Nasi tunamuweke ktk maombi apate nguvu ya kukabiliana msiba huo wa mzazi wake. Bwana ametoa bwana ametwaa, jina la bwana lihimidiwe! Amen.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.