Kidogo chetu
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 1,432
- 992
Ndugu zangu wana Jamvi nawajulisha kifo cha mama yangu mzazi kilichotokea usiku huu hapa Dar es salaam . Msiba uko Kawe opposite viwanja vya Tanganyika Parkers nyuma ya MSONGE PUB .Taratibu na mipango ya Mazishi zinafanyika Kawe na Marehemu atasafirshwa kwenda Musoma kwa Mazishi taratibu zikikamilika .Bwana alitoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe