babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,644
- 3,288
Pole sana kwa msiba
Pole sana, musoma Sehem gani? Ili tulioko musoma tuje kukupa pole.Ndugu zangu wana Jamvi nawajulisha kifo cha mama yangu mzazi kilichotokea usiku huu hapa Dar es salaam . Msiba uko Kawe opposite viwanja vya Tanganyika Parkers nyuma ya MSONGE PUB .Taratibu na mipango ya Mazishi zinafanyika Kawe na Marehemu atasafirshwa kwenda Musoma kwa Mazishi taratibu zikikamilika .Bwana alitoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe
poleni sana na msibaNdugu zangu wana Jamvi nawajulisha kifo cha mama yangu mzazi kilichotokea usiku huu hapa Dar es salaam . Msiba uko Kawe opposite viwanja vya Tanganyika Parkers nyuma ya MSONGE PUB .Taratibu na mipango ya Mazishi zinafanyika Kawe na Marehemu atasafirshwa kwenda Musoma kwa Mazishi taratibu zikikamilika .Bwana alitoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe