MSIBA: Kamishna wa Forodha (TRA) ndugu Walid Juma afariki dunia

Nokla

JF-Expert Member
Aug 12, 2012
3,169
1,711
Amefariki usiku wa kuamkia leo nchini Ufaransa akiwa kwenye matibabu
 
Mhhh ndio maana watu walihoji sana uteuzi wa yule kijana wa Barclays....wengi walidhani Walid ndo angefaa sana kuchukua nafasi ya mzee Kitilya akiondoka
 
RIP
Madaktari Wafaransa nao ni madaktari kama wa bongo tu tatizo vifaa....!
Any way wenye hela zo wacha wakauguziwe mamtoni bhana............!
 
Amefariki usiku wa kuamkia leo nchini Ufaransa akiwa kwenye matibabu

wenzake wanaenda India yeye amekwenda Ufaransa, kama angekuwa India angepoa kma unabisha wauulize wale wagonjwa wawili wa Mbeya.

RIP Fisadi wa TRA
 
RIP Walid Juma.
Pole kwa wote walioguswa na msiba huu.

Kwa hakika TRA imepoteza mojawapo ya watu makini sana!
 
wenzake wanaenda India yeye amekwenda Ufaransa, kama angekuwa India angepoa kma unabisha wauulize wale wagonjwa wawili wa Mbeya.


RIP Fisadi wa TRA

Walid juma ameshatibiwa india sana, amekaa apollo kwa miezi kibao kabla ajaenda ufaransa, na hii ni refer kutoka apollo maana hata wahindi kuna magonjwa nao wanakurfer kwingineko,,, mara nyingi muhindi akikupa refer somewhere else lazima iwe kwenye best centres in the world mara nyingi ni germany, france au usa...
 
Walid juma ameshatibiwa india sana, amekaa apollo kwa miezi kibao kabla ajaenda ufaransa, na hii ni refer kutoka apollo maana hata wahindi kuna magonjwa nao wanakurfer kwingineko,,, mara nyingi muhindi akikupa refer somewhere else lazima iwe kwenye best centres in the world mara nyingi ni germany, france au usa...
Alikuwa anaumwa nini hasa? Au cancer?
 
Walid juma ameshatibiwa india sana, amekaa apollo kwa miezi kibao kabla ajaenda ufaransa, na hii ni refer kutoka apollo maana hata wahindi kuna magonjwa nao wanakurfer kwingineko,,, mara nyingi muhindi akikupa refer somewhere else lazima iwe kwenye best centres in the world mara nyingi ni germany, france au usa...
duuuh iyo hela ingejenga dispensary ngapi hapa nchini mtu mmoja anatibiwa kwa bilioni 2 na watu millioni moja wanakufa kwa kukosa dozi ya malaria ya sh 2500
apumzike kwa amani
 
duuuh iyo hela ingejenga dispensary ngapi hapa nchini mtu mmoja anatibiwa kwa bilioni 2 na watu millioni moja wanakufa kwa kukosa dozi ya malaria ya sh 2500
apumzike kwa amani

Yaan we acha tu, nilienda na b mkubwa apollo nilitaka kudata,, yaan rum tu ndan ya hospital international division cheapest ni kama usd 200 per day, bado msos maana hospital apollo wame outsource kwa catering company nayo inaleta invoice daily, bado bili ya surgery, vipimo na matibab yote.. na haraka haraka matibabu sio chini ya mwezi, hapo ujaweka matibabu na ni mwendo wa madolari tu,,, japokuwa ndugu,jamaa na marafiki walijichanga but hizo cost ni noma...

Raha ya hawa wenzetu wanatibiwa na serikali so yeye haulizi hata bei ni shangwe tu, maana kipindi nipo kule alikuwepo fataki wa lulu yule mbunge.. Yaan anakaa hospital hajui hata bei zinakuwaje as serikali inalipa, we unawaza hela nikiishiwa itakuaje ye anacheka cheka tu as kila kitu kalipiwa
 
Yaan we acha tu, nilienda na b mkubwa apollo nilitaka kudata,, yaan rum tu ndan ya hospital international division cheapest ni kama usd 200 per day, bado msos maana hospital apollo wame outsource kwa catering company nayo inaleta invoice daily, bado bili ya surgery, vipimo na matibab yote.. na haraka haraka matibabu sio chini ya mwezi, hapo ujaweka matibabu na ni mwendo wa madolari tu,,, japokuwa ndugu,jamaa na marafiki walijichanga but hizo cost ni noma...

Raha ya hawa wenzetu wanatibiwa na serikali so yeye haulizi hata bei ni shangwe tu, maana kipindi nipo kule alikuwepo fataki wa lulu yule mbunge.. Yaan anakaa hospital hajui hata bei zinakuwaje as serikali inalipa, we unawaza hela nikiishiwa itakuaje ye anacheka cheka tu as kila kitu kalipiwa
yaani acha tu kwanini wasoboreshe humu nchini? basi hosptal zote humu zifungwe serikali itoe tamko kila mtu aende nje
mbona wao hawatibiwi humu?
 
Back
Top Bottom