Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,944
- 703
Mbunge wa zamani wa CCM jimbo la Mbozi Mashariki Edson Halinga(68) amefariki dunia usiku wa kuamkia jumanne. Marehemu aliyekuwa akiishi mtaa wa Vilolo mjini Viwawa Mbozi alifariki dunia kutokana na ugonjwa wa Moyo. Marehemu alikuwa akipata matibabu katika hospitali ya Viwawa kabla mauti hayajamfika.
MUNGU AMUWEKE MAHALI PEMA PEPONI.....AMINA
MUNGU AMUWEKE MAHALI PEMA PEPONI.....AMINA