Diwani Manoko wa kata ya Kirumba jijini Mwanza kupitia tiketi ya Chadema kafariki leo katika hospitali ya Bugando wald namba 7 baada ya kuugua kwa muda wa siku 2 kwa ugonjwa wa Pneumonia!
<br />Poleni sana wafiwa (kama taarifa hii ni ya kweli lakini, kwa sababu haina chanzo), ila kata tutaitetea kama kawa.
<br />Diwani Manoko wa kata ya Kirumba jijini Mwanza kupitia tiketi ya Chadema kafariki leo katika hospitali ya Bugando wald namba 7 baada ya kuugua kwa muda wa siku 2 kwa ugonjwa wa Pneumonia!
<br /><br /><br />
<br /><br />
Chanzo ni mimi mwenyewe kwani niko msibani!